[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] sawa mwambaaExtension Cable shingapi iyo, Ni tronic au kampuni gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23] sawa mwambaaExtension Cable shingapi iyo, Ni tronic au kampuni gani
Embu lipige picha vizuri tulione, tukikubaliana namwagiza anayelitaka kwako aje kulichukua.Ongeza ongeza
HaviuzwiNiuzie hiyo pasi tafadhali, na chaja itapendeza!
Camera yangu imeishia hapo, aje tu ataliona vizuriEmbu lipige picha vizuri tulione, tukikubaliana namwagiza anayelitaka kwako aje kulichukua.
Watanunua hadi chaji ili usionekane JF hahaaHaiuzwi
Sio watu wazuri kabisa[emoji28]Watanunua hadi chaji ili usionekane JF hahaa
We ni mchokozi[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]Kitanda na matandiko
Subiri watakao kuuliza maswali ya kwanini unauza? HahaaaSio watu wazuri kabisa[emoji28]
Nshauza sana, sihamagi na kituKitanda na matandiko
That's non of your business, jipunguzie majukumu[emoji28]Ukishauza wewe utalala wapi
Tayar washafika, duniani tupo tofauti sana yaani[emoji28]Subiri watakao kuuliza maswali ya kwanini unauza? Hahaaa
Nipigie namba hiyo haposofa mkuu , kula 50k chap
Nipigie namba hiyo hapo
LipoKabati bado lipo?
LipoKama sofa bado lipo sema tumalize biashara
Vipi kuna laki 110 hapa inafaa?Lipo