Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Macho yake yatakua yameanza kuona kama mimi huyo.[emoji7]Hapana mkuu hatuna uhusiano wowote, vipi kwani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Macho yake yatakua yameanza kuona kama mimi huyo.[emoji7]Hapana mkuu hatuna uhusiano wowote, vipi kwani??
Kwani wewe unaonaje mkuu?Macho yake yatakua yameanza kuona kama mimi huyo.[emoji7]
Mimi huwa naona[emoji7][emoji7] kila niuonapo uzi wako!Kwani wewe unaonaje mkuu?
Kwahiyo unamaanisha mi naandika midoli midoli tu humu hamna cha maana?🤔🙄Mimi huwa naona[emoji7][emoji7] kila niuonapo uzi wako!
Yaani wewe umekuwa kama magu vile! Halafu mimi ni mataga. [emoji18]Kwahiyo unamaanisha mi naandika midoli midoli tu humu hamna cha maana?[emoji848][emoji849]
Ooh ahsante sana mkuu! Eti kipenzi cha wengi semea nafsi yako😀 thank you lkn nakupenda pia mkuu Tate!Unaandika point mkuu! Na kwa sababu hiyo, umekua ni kipenzi cha wengi humu jukwaani. Ila hao wote hawanizidi mimi Tate Mkuu
😀😀 hivi mataga ni nini?Yaani wewe umekuwa kama magu vile! Halafu mimi ni mataga. [emoji18]
Make Tanzani Great Again! Hao ni wafuasi wa magu ambao wako tayari hata kuuwawa kwa ajili tu ya kumtetea na kumuunga mkono mpendwa wao.[emoji3][emoji3] hivi mataga ni nini?
Nakuongezea buku hii hapa[emoji3]
Mi nipo sijakususa mkuu! Habari ya jpili?Darling [emoji8].! Umenisusa dear
Mkuu ungesema tu kitanda kikukuu kwa bei poa, hayo maneno mengine uliyoweka ni makali sana
Ooh ok nilikua sijui maana yake!nimekua nikiskia mataga mataga nilichokua nafikiria dah acha nisiseme tu!😀 Thank you TateMake Tanzani Great Again! Hao ni wafuasi wa magu ambao wako tayari hata kuuwawa kwa ajili tu ya kumtetea na kumuunga mkono mpendwa wao.
Wapo tunao humu jukwaani.
Mi nipo sijakususa mkuu! Habari ya jpili?
Hapana mkubwa wa kaziPia godoro halina madoa doa ile sehemu ya katikati na sehemu ya kichwani?
Itakugharimu usafiri mkuu wanguNaitaji napataje nipo chanika
Nimeona hiyo Financial ..nikajua labda Ni wewe uliyetajwa huko Mjengoni,maana Kuna utata Mh.alimaanisha Nini🙄Hapana mkuu hatuna uhusiano wowote, vipi kwani??