jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Dalali umeongeza cha juu,hicho kitanda 170k na godoro 100k.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ivi nyie watu nani anowaaminisha huu ujinga?
Utakuta huyu jamaa ana masters ila kadanganywa hivi na illiterate person ata la saba hajafika
Apunguze bei kwani kitanda kina urembo mwingi unaoweza kupunguza ufanisi wa shughuli za kitandaniDalali umeongeza cha juu,hicho kitanda 170k na godoro 100k.
We ushawahi kuuziwa?Zenji majini wanauziana kama karanga.
😂😂😂 kwani mkuu hayo mambo unataka kusema hayapo???Ivi nyie watu nani anowaaminisha huu ujinga?
Utakuta huyu jamaa ana masters ila kadanganywa hivi na illiterate person ata la saba hajafika
Kwa sababu unawauzia ndugu zako Wazanzibari, watanunua tu bila shaka. Tena kwa bei hiyo hiyo uliyoweka.Wakuu habari ya muda huu
Vyote vipo katika hali nzuri.
Ukitaka kukagua Vipo Kikwajuni.
Bei ya jumla ni laki tano na elfu hamsini.
Godoro pekee bei ni laki moja na themanini alfu.
Kitanda pekee bei ni laki 3 na elfu hamsini.
Sababu ya kuuza:Anahamia bara mwenye navyo.
NB;Mimi sio vyangu isipokuwa kuna mdada kaomba nimtaftie wateja,mtu akihitaji namuunganisha nae chap.
View attachment 2772998View attachment 2772999
Kila la kheri mnunuzi utakayeshinda tendaWakuu habari ya muda huu
Vyote vipo katika hali nzuri.
Ukitaka kukagua Vipo Kikwajuni.
Bei ya jumla ni laki tano na elfu hamsini.
Godoro pekee bei ni laki moja na themanini alfu.
Kitanda pekee bei ni laki 3 na elfu hamsini.
Sababu ya kuuza:Anahamia bara mwenye navyo.
NB;Mimi sio vyangu isipokuwa kuna mdada kaomba nimtaftie wateja,mtu akihitaji namuunganisha nae chap.
View attachment 2772998View attachment 2772999
Nature ya huko kwenu, majini nje njeWakuu nimerudi tena dukani ila sasa wateja mmeachana na bidhaa mmeanza kujadili majini na mambo mengine.
Wakuu vitu bado vipo,karibuni