Kitanda na godoro vinauzwa Zanzibar

Kitanda na godoro vinauzwa Zanzibar

Ivi nyie watu nani anowaaminisha huu ujinga?

Utakuta huyu jamaa ana masters ila kadanganywa hivi na illiterate person ata la saba hajafika

Zenji majini wanauziana kama karanga.
 
Ivi nyie watu nani anowaaminisha huu ujinga?

Utakuta huyu jamaa ana masters ila kadanganywa hivi na illiterate person ata la saba hajafika
😂😂😂 kwani mkuu hayo mambo unataka kusema hayapo???
 
Wakuu habari ya muda huu
Vyote vipo katika hali nzuri.
Ukitaka kukagua Vipo Kikwajuni.
Bei ya jumla ni laki tano na elfu hamsini.
Godoro pekee bei ni laki moja na themanini alfu.
Kitanda pekee bei ni laki 3 na elfu hamsini.
Sababu ya kuuza:Anahamia bara mwenye navyo.
NB;Mimi sio vyangu isipokuwa kuna mdada kaomba nimtaftie wateja,mtu akihitaji namuunganisha nae chap.

View attachment 2772998View attachment 2772999
Kwa sababu unawauzia ndugu zako Wazanzibari, watanunua tu bila shaka. Tena kwa bei hiyo hiyo uliyoweka.
 
Wakuu habari ya muda huu
Vyote vipo katika hali nzuri.
Ukitaka kukagua Vipo Kikwajuni.
Bei ya jumla ni laki tano na elfu hamsini.
Godoro pekee bei ni laki moja na themanini alfu.
Kitanda pekee bei ni laki 3 na elfu hamsini.
Sababu ya kuuza:Anahamia bara mwenye navyo.
NB;Mimi sio vyangu isipokuwa kuna mdada kaomba nimtaftie wateja,mtu akihitaji namuunganisha nae chap.

View attachment 2772998View attachment 2772999
Kila la kheri mnunuzi utakayeshinda tenda
 
Wakuu nimerudi tena dukani ila sasa wateja mmeachana na bidhaa mmeanza kujadili majini na mambo mengine.
Wakuu vitu bado vipo,karibuni
 
Siku hizi majini hakuna.
Kweli nawahakikishia hakuna yalishakimbilia mbali.
 
Back
Top Bottom