Mkuu mimi kuamini Mdee is no more as mbunge wa Kawe hakunijengei aibu yoyote kwenye jamii!! kwani kosa langu ni lipi na kura zitapigwa kujua ni Mdee au Paskal Mayalla?
Mkuu siku zote kuna stages za kuukubali ukweli naelewa ni ngumu kumeza na ni lazima chadema mzipitie stages zote, stage namba moja ni Information!! namba mbili ni DENIAL , mkijikwamua toka hapo DENIAL mlipokwamia miaka yote hii huko mbele kwenye CONSCIOUSNESS and Reality ni mteremko!
Halima, DJ , Sugu , Prof J ,wote kwishney nawashauri watunze vizuri kiinua mgongo chao bunge lijalo hawana siti tena za kwenda kuzipasha joto!!
mimi ni sisiem najua what we kijani think and do kwa watu dizaini ya Mdee! sisiem hatupendi kulea wanaotukera na kukwamisha juhudi, Magufuli the Black White man aka Bulldozer aka Mubashara hahitaji kina Halima na kelele zao wanatuchelewesha kufikia uchumi wa juu, bao la mkono ni halali yake Halima kama akisumbua kwenye kura!!!