Uchaguzi 2020 Kitanzi cha CCM Kawe: Watia nia 176 wa ubunge dhidi ya Halima Mdee CHADEMA

Anjela ana hela chafu ila hauziki piga ua kwa sie wakazi wa Kawe
 
Kama hamyalei inakuwaje munafukuzana
Au ulikuwa mtoto enzi ya akina Zitto.
 
Kwa nn hamtaki kuheshimu kura za wananchi?

Majizi nyie afu kila siku mnasema mna mungu!!!
 
Ni kuzuri kwa dhahania ya wagombea lakini siyo kiuhalisia wa wapiga kura. Kwa uchaguzi wa haki ccm hamna kitu, watu wameichoka.
 
Ni kuzuri kwa dhahania ya wagombea lakini siyo kiuhalisia wa wapiga kura. Kwa uchaguzi wa haki ccm hamna kitu, watu wameichoka.

mambo mawili yanaweza kutokea katika mubashara na uwazi wa kuhesabu kura za uchaguzi mkuu

1.ikiwekwa amri ya Magu kura uchaguzi mkuu zihesabiwe vituoni mbele ya wapiga kura kwavile kwasasa ni 1/3 wana piga kura basi ni uhakika idadi ya wapiga kura itapaa juu itakuwa double 2/3.

2. uhesabuji ukiwa mubashara mshindi hawezi kupangwa labda kuwe tayari kumepenyezwa masanduku ya kura zilizokwishapigwa !!
mshindi halali atapatikana na washindi watamfanana Magufuli watatenda haki na watamsaidia toka moyoni na nchi itapiga hatua kubwa kiuchumi kwa kuwa na viongozi makini na wa haki wataotenda mambo ya kizalendo tupu kuwalipa wapiga kura , kuliko ikiwa zoezi la kuhesabu kura litaendelea kufanyika gizani na kugubikwa na wizi , ikiwa uhesabuji kura utaendelea kuakisi fikra za Nyerere nchi hii itabaki nyuma kimaendeleo kwa miaka mingi!!
 
Kwa wagombea hawa niliowaona na kuwasikiliza, wapitishwe wote tu kisha Mdee awabutue asubuhi na mapema.
 
CCM ni level nyingine bro
Watia Nia wote wanakua no mgombea mmoja tu atakayepita na mwishowe kuwa mbunge!
Hii idadi kubwa no kuonyesha Imani ya wanachama kwa chama Chao dhidi ya mwenyekiti wao
Na tambua hizo zote ni kura za CCM uchaguzi wa october
 
CCM ni level nyingine bro
Watia Nia wote wanakua no mgombea mmoja tu atakayepita na mwishowe kuwa mbunge!
Hii idadi kubwa no kuonyesha Imani ya wanachama kwa chama Chao dhidi ya mwenyekiti wao
Na tambua hizo zote ni kura za CCM uchaguzi wa october

Endelea kujitekenya mlamu, mimi na wenzangu tumekubaliana kuhamia upinzani baada ya kukosa nafasi.
 
Can't waste my precious time on this crap.
 
nisaidie mkuu maana ya crap na kujenga hoja kile umeona ni crap
Umenilazimisha nirudi nyuma kutafuta mengine uliyochangia kwenye mada hii ili niondoe shaka na niliyokujibu kwenye bandiko tuliloanza kujibishana hapa.
Nimejiridhisha kuwa, sina muda wa kuendelea kujibishana nawe hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…