Kitanzi kimepitwa na wakati kwanini tusitumie technology hii

Kitanzi kimepitwa na wakati kwanini tusitumie technology hii

EvilSpirit

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2017
Posts
10,576
Reaction score
16,644
1024px-SQ_Lethal_Injection_Room.jpg
800px-Florida_electric-chair.jpg
 

Attachments

  • 1280px-Execution_chamber,_Florida.jpg
    1280px-Execution_chamber,_Florida.jpg
    76.2 KB · Views: 16
Kama adhabu ya kifo ni kulipiza kisasi kwa aliyeua, vipi mtu aliyemkata panga mwenzake kwanini na yeye hakatwi panga
 
Adhabu ya kifo pekee inayotakiwa kubaki ni ya sindano ya sumu inayomfanya anayehukumiwa kusinzia na kupitiliza. Nchi zenye option ya kuchagua wengi huchagua sumu.

Ama ziwepo options zaidi ila sumu isikose. Hiyo ya kiti cha umeme ni ya zamani pia
 
Kama adhabu ya kifo ni kulipiza kisasi kwa aliyeua, vipi mtu aliyemkata panga mwenzake kwanini na yeye hakatwi panga
We jamaa hivi vitu havina uhusiano. Imagine upo kazini unapigiwa simu kuna kiumbe kaua mtoto wako

Ningekua kwenye position ya kusign utekelezaji wa hii hukumu . Ningewala vichwa sana
 
Adhabu ya kifo pekee inayotakiwa kubaki ni ya sindano ya sumu inayomfanya anayehukumiwa kusinzia na kupitiliza. Nchi zenye option ya kuchagua wengi huchagua sumu.

Ama ziwepo options zaidi ila sumu isikose. Hiyo ya kiti cha umeme ni ya zamani pia
Napendekeza hii ya 1700s irudishwe
 

Attachments

  • guillotines-lg-56a9a2705f9b58b7d0fd8ec2.jpg
    guillotines-lg-56a9a2705f9b58b7d0fd8ec2.jpg
    121.2 KB · Views: 10
Pamoja na uwepo wa hiyo adhabu, wauaji wameacha kutoa roho za watu?
Mauaji hayawezi kuisha Duniani lakini hilo haizuii wauaji pia kuuawa.

Adhabu ya kifo haizuii watu wasiendelee kuua watu ila hakuna sababu ya kuendelea kuwapa nafasi wauaji ya kuendelea kuishi wakati wao hawakujali maisha ya watu wengine.

Hatuwezi kuendelea kulipia mauaji chakula na ulinzi gerezani, waendelee kuishi. Hiyo hela inaweza kutumika kusaidia jamii ama matatizo mengine katika jamii, jamii ina changamoto nyingi sana zinazohitaji msaada, sio wauaji. Akiua, auwawe.

Watu ambao hawakujali maisha ya watu wengine, hatuna sababu ya kujali maisha yao.
 
Cha kushangaza Taifa lililo endelea kama Marekani, eti ndiyo kinara!!
 
Mauaji hayawezi kuisha Duniani lakini hilo haizuii wauaji pia kuuawa.

Adhabu ya kifo haizuii watu wasiendelee kuua watu ila hakuna sababu ya kuendelea kuwapa nafasi wauaji ya kuendelea kuishi wakati wao hawakujali maisha ya watu wengine.

Hatuwezi kuendelea kulipia mauaji chakula na ulinzi gerezani, waendelee kuishi. Hiyo hela inaweza kutumika kusaidia jamii ama matatizo mengine katika jamii, jamii ina changamoto nyingi sana zinazohitaji msaada, sio wauaji. Akiua, auwawe.

Watu ambao hawakujali maisha ya watu wengine, hatuna sababu ya kujali maisha yao.
Umenena Vema mkuu
 
Back
Top Bottom