EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itapitwa na wakati wauaji watakapoacha kutwaa roho za watuAdhabu ya kifo kwa ujumla imepitwa na wakti
Na huu ndio ukweli. Kuna watu wanafanya mambo mpaka unajiuliza hivi kweli huyu ni binadamu. Hii adhabu iendelee kuwepo tuItapitwa na wakati wauaji watakapoacha kutwaa roho za watu
Itapitwa na wakati wauaji watakapoacha kutwaa roho za watu
We jamaa hivi vitu havina uhusiano. Imagine upo kazini unapigiwa simu kuna kiumbe kaua mtoto wakoKama adhabu ya kifo ni kulipiza kisasi kwa aliyeua, vipi mtu aliyemkata panga mwenzake kwanini na yeye hakatwi panga
Naunga mkono hojaNa huu ndio ukweli. Kuna watu wanafanya mambo mpaka unajiuliza hivi kweli huyu ni binadamu. Hii adhabu iendelee kuwepo tu
Natamani tuje kumlaza ndugu makamba kwenye hiki kitandaJina lako EvilSpirit na mada zako vinaendana kama Yusuph Makamba na Chama chake CCM!
Jibu ni hapana kwani miaka 30 jela imewafanya muache kubaka?Pamoja na uwepo wa hiyo adhabu, wauaji wameacha kutoa roho za watu?
Napendekeza hii ya 1700s irudishweAdhabu ya kifo pekee inayotakiwa kubaki ni ya sindano ya sumu inayomfanya anayehukumiwa kusinzia na kupitiliza. Nchi zenye option ya kuchagua wengi huchagua sumu.
Ama ziwepo options zaidi ila sumu isikose. Hiyo ya kiti cha umeme ni ya zamani pia
Mauaji hayawezi kuisha Duniani lakini hilo haizuii wauaji pia kuuawa.Pamoja na uwepo wa hiyo adhabu, wauaji wameacha kutoa roho za watu?
Njia rahisi na ambayo haina complication ni firing squad tu.
Umenena Vema mkuuMauaji hayawezi kuisha Duniani lakini hilo haizuii wauaji pia kuuawa.
Adhabu ya kifo haizuii watu wasiendelee kuua watu ila hakuna sababu ya kuendelea kuwapa nafasi wauaji ya kuendelea kuishi wakati wao hawakujali maisha ya watu wengine.
Hatuwezi kuendelea kulipia mauaji chakula na ulinzi gerezani, waendelee kuishi. Hiyo hela inaweza kutumika kusaidia jamii ama matatizo mengine katika jamii, jamii ina changamoto nyingi sana zinazohitaji msaada, sio wauaji. Akiua, auwawe.
Watu ambao hawakujali maisha ya watu wengine, hatuna sababu ya kujali maisha yao.