Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
CHADEMAFOBIAHaiwezekani kwa sababu chadema ni chama cha wachaga
🌈Haiwezekani kwa sababu chadema ni chama cha wachaga
Andiko la kijingaHaiwezekani kwa sababu chadema ni chama cha wachaga
ACT WAMETANGAZA SIJUI wanaanza liniKuna swali tu nimejiuliza hapa, what if tule tu vyama vingine vya Upinzani vitajiunga kwenye maandamano yanayoratibiwa na CHAMA KIKUU CHA UPINZANI? Kisheria ikoje? Itabidi na wao wakaombe kibali cha maandamano??
swali la ziada, je maandamano haya hayaweze ku-escalate na kuwahusisha watu wote? Je huu huenda ukawa ndio muendelezo wa kuanguka kwa CCM?
Niko Kasulu hapa tunajaza mafuta bodaboda na kulazimisha wanafunzi na wana vyuo na magari ya Mashirika ya Misaada ya Wkimbizi kesho wajitokeze kumpokea "Mhemezi" wa CCM. Karibu Kasulu
Kauli za wapumbavu, utawajua kwa kauli zaoHaiwezekani kwa sababu chadema ni chama cha wachaga
Itakuwa poa sana , Tatizo CCM ni dubwana kubwa sana hata huko kwenye vyama unakuta wana watu hivyo sio rahisi kuliangusha .Kuna swali tu nimejiuliza hapa, what if tule tu vyama vingine vya Upinzani vitajiunga kwenye maandamano yanayoratibiwa na CHAMA KIKUU CHA UPINZANI? Kisheria ikoje? Itabidi na wao wakaombe kibali cha maandamano??
swali la ziada, je maandamano haya hayaweze ku-escalate na kuwahusisha watu wote? Je huu huenda ukawa ndio muendelezo wa kuanguka kwa CCM?
Niko Kasulu hapa tunajaza mafuta bodaboda na kulazimisha wanafunzi na wana vyuo na magari ya Mashirika ya Misaada ya Wkimbizi kesho wajitokeze kumpokea "Mhemezi" wa CCM. Karibu Kasulu
Watanzani bila kujitambua hakuna kitakachobadilika. Binadamu by nature, bila kusimamiwa na kuwekewa viwango anajisahau. Kama Ulaya kwenye demokrasia na maendeleo watu kuna wakati wanatumia migomo na maandamano kushinikiza serikali, sisi ni wakina nani?CHADEMAFOBIA
Wakulima wa Ulaya wamekiwasha leo.Kauli za wapumbavu, utawajua kwa kauli zao
Wepesi saaana sanaItakuwa poa sana , Tatizo CCM ni dubwana kubwa sana hata huko kwenye vyama unakuta wana watu hivyo sio rahisi kuliangusha .
SubutuuuACT WAMETANGAZA SIJUI wanaanza lini
Vyama vipi kwa mfano, vile 14+ACT?, chama cha upinzani ni kimoja tu "CHADEMA".Kuna swali tu nimejiuliza hapa, what if tule tu vyama vingine vya Upinzani vitajiunga kwenye maandamano yanayoratibiwa na CHAMA KIKUU CHA UPINZANI? Kisheria ikoje? Itabidi na wao wakaombe kibali cha maandamano??
swali la ziada, je maandamano haya hayaweze ku-escalate na kuwahusisha watu wote? Je huu huenda ukawa ndio muendelezo wa kuanguka kwa CCM?
Niko Kasulu hapa tunajaza mafuta bodaboda na kulazimisha wanafunzi na wana vyuo na magari ya Mashirika ya Misaada ya Wkimbizi kesho wajitokeze kumpokea "Mhemezi" wa CCM. Karibu Kasulu
Vyama vipi kwa mfano, vile 14+ACT?, chama cha upinzani ni kimoja tu "CHADEMA".Kuna swali tu nimejiuliza hapa, what if tule tu vyama vingine vya Upinzani vitajiunga kwenye maandamano yanayoratibiwa na CHAMA KIKUU CHA UPINZANI? Kisheria ikoje? Itabidi na wao wakaombe kibali cha maandamano??
swali la ziada, je maandamano haya hayaweze ku-escalate na kuwahusisha watu wote? Je huu huenda ukawa ndio muendelezo wa kuanguka kwa CCM?
Niko Kasulu hapa tunajaza mafuta bodaboda na kulazimisha wanafunzi na wana vyuo na magari ya Mashirika ya Misaada ya Wkimbizi kesho wajitokeze kumpokea "Mhemezi" wa CCM. Karibu Kasulu
Wanao Amini kama ww nanyi andaeni maandamano kufahamisha watu mawazo yako!Haiwezekani kwa sababu chadema ni chama cha wachaga
TayariMuongozo umeshatolewa? Dar tunaanzia wapi?