Tulishaikataa chadema na uchaga wake tupo na chama cha watanzania wote yani ccmWanao Amini kama ww nanyi andaeni maandamano kufahamisha watu mawazo yako!
Nawezaje kupata kichekesho kingine kama hiki?Tulishaikataa chadema na uchaga wake tupo na chama cha watanzania wote yani ccm
Ukitoa CHADEMA na ha Rungwe mengine yote ni mashina ya CCM na hayawezi kuungana kudai hakiKuna swali tu nimejiuliza hapa, what if tule tu vyama vingine vya Upinzani vitajiunga kwenye maandamano yanayoratibiwa na CHAMA KIKUU CHA UPINZANI? Kisheria ikoje? Itabidi na wao wakaombe kibali cha maandamano??
swali la ziada, je maandamano haya hayaweze ku-escalate na kuwahusisha watu wote? Je huu huenda ukawa ndio muendelezo wa kuanguka kwa CCM?
Niko Kasulu hapa tunajaza mafuta bodaboda na kulazimisha wanafunzi na wana vyuo na magari ya Mashirika ya Misaada ya Wkimbizi kesho wajitokeze kumpokea "Mhemezi" wa CCM. Karibu Kasulu
Hata Rungwe ni mpinzani aseeSidhani kama hilo linaweza kutokea!
Hivyo Vyama vingine ni matawi ya Chama pendwa!
CDM ndicho Chama pekee cha Upinzani kilichobaki cha Wananchi.
Hata cha Hashimu Rungwe nacho ni upinzani tuache utaniVyama vipi kwa mfano, vile 14+ACT?, chama cha upinzani ni kimoja tu "CHADEMA".