Kitchen Tips

Kitchen Tips

1. Chumvi ikizidi kwenye mchuzi menya kiazi mbatata weka ganda acha uchemke chumvi itapungua sana



2. Ukiunguza wali kata kitunguu maji nusu weka kwenye wali funikia inakata harufu ya moshi


3. Tui lisipokolea kwenye maharage weka unga wa sembe tikisa acha itokote hata kama nazi ni nusu itakua kama umeweka nazi tatu


4. Maharage ukitaka yaive upesi weka kijiko cha baking powder


5. Mchuzi wa maini ukitaka uwe rast nzito au mchuzi wowote na hauna nyanya za kutosha weka kijiko kimoja cha chakula unga wa ngano ukoroge na maji kidogo then weka kwa mchuzi wacha uchemke dk 5


6. Muhogo ukiwa chelema weka making powder kijiko kimoja


7. Nyama ikiwa ngumu au ukitaka ilainike upesi kwangulia papai bichi


8. wali ukishik/ukiungua, kabla ya kufunikia, waweza pia tumia margarine au blue band, ukipakua harufu ya kuungua haitokuwepo tena.

 
Great tips! I would like to add one if you are having difficulty opening jars. Run the rim in warm water for a few seconds then wait a few minutes and try.
 
Feedback please if you ever tried ? It is also okay to mention that the experiement killed your microwave 🙂

Now you got me thinking,lets ponder a lit bit..mmh could it be tomatoes acidic nature? any way i am gonna try it and see the result coz i have this belief that only on the JF CHEF is shitty post free! linapokuja suala la misosi hatunaga utani!
 
Apply some lemon juice on the cut surface of the apple to avoid browning. They will look fresh for a longer time
This works for most salads, and works very well with avocado too!


 
Feedback please if you ever tried ? It is also okay to mention that the experiement killed your microwave 🙂
Dude,I did'nt coz wifey intervened and vetoed against it-talking about power of women!
 
Kudoz to Mama Ngina, lucky u got smart gul !! It is the science behind that is questionable, unless whoever said this comes out with some breakdowns and explaination...
Dude,I did'nt coz wifey intervened and vetoed against it-talking about power of women!
 
Kudoz to Mama Ngina, lucky u got smart gul !! It is the science behind that is questionable, unless whoever said this comes out with some breakdowns and explaination...
Got it righto buddy!
 
1. Chumvi ikizidi kwenye mchuzi menya kiazi mbatata weka ganda acha uchemke chumvi itapungua sana


2. Ukiunguza wali kata kitunguu maji nusu weka kwenye wali funikia inakata harufu ya moshi


3. Tui lisipokolea kwenye maharage weka unga wa sembe tikisa acha itokote hata kama nazi ni nusu itakua kama umeweka nazi tatu


4. Maharage ukitaka yaive upesi weka kijiko cha baking powder


5. Mchuzi wa maini ukitaka uwe rast nzito au mchuzi wowote na hauna nyanya za kutosha weka kijiko kimoja cha chakula unga wa ngano ukoroge na maji kidogo then weka kwa mchuzi wacha uchemke dk 5


6. Muhogo ukiwa chelema weka making powder kijiko kimoja


7. Nyama ikiwa ngumu au ukitaka ilainike upesi kwangulia papai bichi


8. wali ukishik/ukiungua, kabla ya kufunikia, waweza pia tumia margarine au blue band, ukipakua harufu ya kuungua haitokuwepo tena.

8. wali ukishik/ukiungua, kabla ya kufunikia, waweza pia tumia margarine au blue band, ukipakua harufu ya kuungua haitokuwepo tena.
wali ukiungulia waweza kuchukua kitunguu maji kikubwa unakiosha na kukikata ncha zote then unakitumbukiza katikati then unafunika harufu yote huisha.. thanks mimi hufanya hivyo

 
Back
Top Bottom