Kitchen tricks

Kitchen tricks

Kwenye upishi shida yetu wengi ni muda. Tunadhani hatuwezi kupika kwa sababu tuko busy etc. Ili kuweza kupika vizuri na haraka unahitaji haya:
1 wekeza kwenye gadgets. Jiko zuri, kisu kikali (hii ni must kwangu), sijui peeler, veggie chopper, dough maker, pressure cooker etc.

2 vitunguu swaumu nunua vingi, menya na kutwanga na chumvi kisha weka kwenye chupa ya kioo ambayo inafunga tightly. Chupa iliyokuwa na mayonnaise inafaa zaidi

3nunua green groceries kwa wingi na osha zote na kukausha maji (unaweza kuzilaza kwenye strainer hadi asubuhi) kisha panga kwenye friji. Wakati wa kupika ukishaosha mikono yako huhitaji kuosha kila kitu upya. You chop and throw into the steaming pot

4mi napenda nazi ya kiswahili. Nunua nazi nyingi kama zinapatikana ulipo. Kuna zote zikiwa fresh na weka kwenye freezer kwa kugawa portions ndogo. Unaweza kutumia film ya kufunikia chakula ama mifuko laini

Hapo no 2....waweza saga vitunguu pamoja na giligilini (coriander) then ukahifadhi ndani ya friji....
Kwa vile giligilani zinaharibika mapema so hapo utakua umeshaihifadhi vizuri ili kuepuka kutupa na kununua nyengine...
 
Habari zenu...

Leo nimepata wzo:lets share tricks za jikoni,hope kila mtu ana za kwako....

Ntaanza mimi lol....


#1 ) jinsi ya kutumia mdalasini (cinamon) kuondoa harufu mbaya jikoni.....mfano shombo la samaki,au umepika chakula kimetoa harufu mbaya....

Namna ya kuutumia huo mdalasini....

Wakati unapika mfano unakaanga samaki..katika jiko jengine unaweka maji kiasi then mdalasin unaacha inachemka...

Au kama una jiko moja waweza malizia kupika then ukafanya hiyo process ya kuondoa maharufu.....

Wengi wetu hutamani kula chakula flani lakini tunashindwa kuvipika kwasababu tu vinaacha harufu mbaya ndani ya nyuma....


So trick ni hiyo.....lets enjoy kila kupika kila tupendacho hata kama vina harufu...

Thank you mamii, I didnt knw this! wakina cc hua tunasubiria kuchoma ubani ama udii:happy:
 
Kwenye upishi shida yetu wengi ni muda. Tunadhani hatuwezi kupika kwa sababu tuko busy etc. Ili kuweza kupika vizuri na haraka unahitaji haya:
1 wekeza kwenye gadgets. Jiko zuri, kisu kikali (hii ni must kwangu), sijui peeler, veggie chopper, dough maker, pressure cooker etc.

2 vitunguu swaumu nunua vingi, menya na kutwanga na chumvi kisha weka kwenye chupa ya kioo ambayo inafunga tightly. Chupa iliyokuwa na mayonnaise inafaa zaidi

3nunua green groceries kwa wingi na osha zote na kukausha maji (unaweza kuzilaza kwenye strainer hadi asubuhi) kisha panga kwenye friji. Wakati wa kupika ukishaosha mikono yako huhitaji kuosha kila kitu upya. You chop and throw into the steaming pot

4mi napenda nazi ya kiswahili. Nunua nazi nyingi kama zinapatikana ulipo. Kuna zote zikiwa fresh na weka kwenye freezer kwa kugawa portions ndogo. Unaweza kutumia film ya kufunikia chakula ama mifuko laini

I Agree, mm pia hufanyaga hivi ukiingia jikoni unapika km muhindi dkk 10 umemaliza unasubiria kuipua tu!
 
Harufu mie ambazo zinaniudhi sana ni za samaki wa kukaanga na sambusa. Katika baadhi ya nchi wanunuzi wa nyumba hawataki kabisa kununua nyumba zilizokuwa za wahindi kwa sababu ya harufu kali katika nyumba hizo zinazosababishwa na mapishi mbali mbali ya kihindi wanadai harufu hizo huwa ni kero kubwa kwa wanunuzi ambao si wahindi. Na realtors nadhani hushauri namna ya kupambana na harufu hizo ili wanunuzi wanaokuja kuiangalia nyumba wasishtukie harufu hiyo. Ahsante sana farkhina.
 
Last edited by a moderator:
Harufu mie ambazo zinaniudhi sana ni za samaki wa kukaanga na sambusa. Katika baadhi ya nchi wanunuzi wa nyumba hawataki kabisa kununua nyumba zilizokuwa za wahindi kwa sababu ya harufu kali katika nyumba hizo zinazosababishwa na mapishi mbali mbali ya kihindi wanadai harufu hizo huwa ni kero kubwa kwa wanunuzi ambao si wahindi. Na realtors nadhani hushauri namna ya kupambana na harufu hizo ili wanunuzi wanaokuja kuiangalia nyumba wasishtukie harufu hiyo. Ahsante sana farkhina.

Yaani nyumba za Wahindi ni kunuka curry mwanzo mwisho!

Halafu wale watu sijui kwao kupaka deodorant ni mwiko ama vipi maana vikwapa vyao huwa vinatema balaa.

Nadhani zile curry wanazokula huwa zinachagiza zaidi hiyo harufu. Usiombe upangiwe seat moja na Mhindi kwenye long haul flight. Utajuta.

Au usiombe uende gym halafu Mhindi apite karibu yako. Mzuka wote wa mazoezi lazima utakufa papo hapo.
 
So what if you do need to get rid of a bad smell? Here are some ideas from staging professionals:

- Take the trash out. It's simple, but it can make a big difference. When the home is being shown, advise sellers to empty the garbage often.

- Snuff out the smoke. Encourage sellers to eliminate all smoking inside and even outside, particularly when the doors or windows are open. An ionizer can help remove smoke smells.

- Watch the cooking. The smell of lamb, broccoli, garlic, fish, and eggs can stick around long after the food has been eaten.

- Wash Fido. Pets can be a big source of smells. Limit the pet to an outdoor area or a certain room in the house that can be regularly cleaned, says staging professional Kellie Frooninckx, owner of Virtual Enriching Homes in Phoenix. Also, clean the pet's bedding regularly.

Ideas for Creating Pleasing Scents:
Real estate professionals from across the country share with us their favorite home scents that are sure to please buyers.
"I recommend using lemon or citrus scented candles for showings and running a few lemon wedges through the garbage disposal." −Christine Spitale, Sunflower Staging, Highland Mills, N.Y.
"Covering up the smell is not the answer. Sometimes it takes a thorough cleaning of carpets, drapes, and upholstery. It also helps to open windows to get air flowing and to clean out the air ducts." −Barbara Linick, ERA Troy, REALTORS®, San Antonio

"I think that cinnamon and vanilla are the best smells when trying to sell a home. I love to walk into a home and breathe in the fresh scent of cinnamon sticks on the stove or smell a burning vanilla candle." −Fran Hughes, Keller Williams Realty Atlanta Perimeter, Atlanta

"I always use an electric ceramic crock that can hold small or large glass candles, like from Yankee Candle Co. There's no risk of fire because there's no flame; the ceramic crock warms the candle to melt the wax. I've used several of these in different places throughout the house, so as you walk through you get different fragrances." −Linda C. Hardt, Homelynx Home Loans, Fort Myers, Fla.
"I use an odor eliminator called PureAyre that smells like mint. The product can be ‘injected' into furniture or carpets. It can also be sprayed into the air. When buyers come into a home, many are turned off by the smell of air fresheners or candles. Smart buyers know these are old tricks used to cover up smells, not eliminate them." −Carol Smith, Creative Home Stagers, Charlotte, N.C.

"Put a beer in the oven on low and it will smell like you're baking fresh bread." −Elizabeth Lord, Carolina Farms & Estates, York, S.C.

"When you introduce any pleasant smelling items to a home, try to stick to basic scents such as vanilla, apple, cinnamon, and lemon. In small doses, these often appeal to the most buyers. A small reed diffuser in a bathroom can keep a clean smell, while not overwhelming the space." −Kellie Frooninckx, Virtual Enriching Homes, Phoenix

"Heat up some water and throw fresh cinnamon into it. Turn it off just before the buyers come. They'll think that you baked cookies for them." −April M. Newland, Newland Real Estate, St. Thomas, U.S. Virgin Islands

"If the sellers have a basement they may need to get a dehumidifier. Basements are in the ground, a damp environment by nature. So many times we open the basement door and get smacked with a musty odor. Bye-bye good offer." −Colette O'Mara, Weichert, REALTORS®, North Syracuse, N.Y.

Reprinted from REALTOR® Magazine Online April 2010 with permission of the NATIONAL ASSOCIATION OF REALTORS®. Copyright 2010. All rights reserved.

 
Harufu mie ambazo zinaniudhi sana ni za samaki wa kukaanga na sambusa. Katika baadhi ya nchi wanunuzi wa nyumba hawataki kabisa kununua nyumba zilizokuwa za wahindi kwa sababu ya harufu kali katika nyumba hizo zinazosababishwa na mapishi mbali mbali ya kihindi wanadai harufu hizo huwa ni kero kubwa kwa wanunuzi ambao si wahindi. Na realtors nadhani hushauri namna ya kupambana na harufu hizo ili wanunuzi wanaokuja kuiangalia nyumba wasishtukie harufu hiyo. Ahsante sana farkhina.

Usijali,karibu sana....
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Yaani nyumba za Wahindi ni kunuka curry mwanzo mwisho!

Halafu wale watu sijui kwao kupaka deodorant ni mwiko ama vipi maana vikwapa vyao huwa vinatema balaa.

Nadhani zile curry wanazokula huwa zinachagiza zaidi hiyo harufu. Usiombe upangiwe seat moja na Mhindi kwenye long haul flight. Utajuta.

Au usiombe uende gym halafu Mhindi apite karibu yako. Mzuka wote wa mazoezi lazima utakufa papo hapo.

Afadhali ya wahinndi jamani..jirani zangu wa ghana subhanallah wanapika samaki wananuka hao kuliko walooza na hiyo harufu yake yote inakuja kwangu kama mie ndio nimepika..

Na siwezi harufu mbaya basi hutapika.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wachina pia wana vyakula vyao ila sijui majumbani mwao harufu ya huko, wanapenda sana kuja na vyakula maofisini basi wakianza kupasha moto ile harufu watu huikimbia ofisi dah!!!!! Sijui ndio nyama ya mbwa au ni kitu gani cha harufu mbaya kiasi hicho, halafu si ajabu wenyewe wanaona kinanukia 🙂🙂. Mie hata kwenda kula kwenye hotel za Wachina nimeshindwa huwa siwezi kabisa kuvumilia harufu iliyomo ambayo hunikera sana, pia kwenye maduka yao ya vyakula huingia nakutoka tena kwa kulazimishwa nimsaidie mtu kuchagua/kutafuta kitu. Miezi michache iliyopita nikazikuta karanga mbichi tena fresh kabisa ikabidi nizikague kwa kina kabla ya kuamua kuzinunua au la, nilizibeba lundo hahahahahaha lol!!!! Maana mie karanga mbichi nazipenda sana.

Afadhali ya wahinndi jamani..jirani zangu wa ghana subhanallah wanapika samaki wananuka hao kuliko walooza na hiyo harufu yake yote inakuja kwangu kama mie ndio nimepika..

Na siwezi harufu mbaya basi hutapika.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Afadhali ya wahinndi jamani..jirani zangu wa ghana subhanallah wanapika samaki wananuka hao kuliko walooza na hiyo harufu yake yote inakuja kwangu kama mie ndio nimepika..

Na siwezi harufu mbaya basi hutapika.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Oh yeah Waghana nao huwa wana samaki flani hivi wakukaushwa...aisee wananuka vibaya sana. Sasa ukute wanayapika hayo masamaki yao na ile mi fufu...majanga.
 
Oh yeah Waghana nao huwa wana samaki flani hivi wakukaushwa...aisee wananuka vibaya sana. Sasa ukute wanayapika hayo masamaki yao na ile mi fufu...majanga.

Ah usinikumbushe mie.....tena siku nyengine huwa na wageni na harufu mbaya limejaa ndani najitahidi kuondoa harufu lakini kali sana
 
Wachina pia wana vyakula vyao ila sijui majumbani mwao harufu ya huko, wanapenda sana kuja na vyakula maofisini basi wakianza kupasha moto ile harufu watu huikimbia ofisi dah!!!!! Sijui ndio nyama ya mbwa au ni kitu gani cha harufu mbaya kiasi hicho, halafu si ajabu wenyewe wanaona kinanukia 🙂🙂. Mie hata kwenda kula kwenye hotel za Wachina nimeshindwa huwa siwezi kabisa kuvumilia harufu iliyomo ambayo hunikera sana, pia kwenye maduka yao ya vyakula huingia nakutoka tena kwa kulazimishwa nimsaidie mtu kuchagua/kutafuta kitu. Miezi michache iliyopita nikazikuta karanga mbichi tena fresh kabisa ikabidi nizikague kwa kina kabla ya kuamua kuzinunua au la, nilizibeba lundo hahahahahaha lol!!!! Maana mie karanga mbichi nazipenda sana.

Mie pia nazipenda ila huwa naichoma kwenye oven kidogo.....then natengeneza tende na maziwa na hizo karanga nasaga kwa blenda then nakunywa tamu sana alafu very healthy....
 
maharage unayachemsha nusu au kilo 1 moja mpaka yaive yakauke maji unaweka kwenye freezer unakuwa unapika kidogo kidogo kipimo ukitakacho.
 
Habari zenu...

Leo nimepata wzo:lets share tricks za jikoni,hope kila mtu ana za kwako....

Ntaanza mimi lol....


#1 ) jinsi ya kutumia mdalasini (cinamon) kuondoa harufu mbaya jikoni.....mfano shombo la samaki,au umepika chakula kimetoa harufu mbaya....

Namna ya kuutumia huo mdalasini....

Wakati unapika mfano unakaanga samaki..katika jiko jengine unaweka maji kiasi then mdalasin unaacha inachemka...

Au kama una jiko moja waweza malizia kupika then ukafanya hiyo process ya kuondoa maharufu.....

Wengi wetu hutamani kula chakula flani lakini tunashindwa kuvipika kwasababu tu vinaacha harufu mbaya ndani ya nyuma....


So trick ni hiyo.....lets enjoy kila kupika kila tupendacho hata kama vina harufu...

Thanx for sharing, apo namba 1 nimejifunza kitu, maana ukikaa kwenye nyumba ndogo mf. Flats ukipika unaacha harufu hadi ukumbini na wkt mwengine mpk vyumbani.

Makwisha pata dawa sasa.

Thnx again dear
 
Hapo no 2....waweza saga vitunguu pamoja na giligilini (coriander) then ukahifadhi ndani ya friji....
Kwa vile giligilani zinaharibika mapema so hapo utakua umeshaihifadhi vizuri ili kuepuka kutupa na kununua nyengine...

Kuna shost wangu mmoja alinifahamisha, kusaga ivo vitu kwa kutumia na mafuta ya olive oil badala ya maji. Then unahifadhi kwenye chupa ya kigae km ya tang. Unaweka kwenye fridge.

In last longer than unapoweka maji. Na harufu haibadiliki.
 
Kuna shost wangu mmoja alinifahamisha, kusaga ivo vitu kwa kutumia na mafuta ya olive oil badala ya maji. Then unahifadhi kwenye chupa ya kigae km ya tang. Unaweka kwenye fridge.

In last longer than unapoweka maji. Na harufu haibadiliki.

Mie nasaga kwa food process siweki maji wala mafuta....na tangawizi nafanya hivo hivo nasaga naweka kwenye chupa...
 
#3 ...kutesti hamira kama ni nzima au vipi....

Utahijati
1)maji nusu kikombe (very warm)...
2)kijiko cha kula 1 cha sukari..
3)hamira yenyewe...


Mimina hamira kiasi katika kikombe cha maji then add sukari then koroga vizuri ichanganyike....then wacha


Baada ya dakika 10-15 hamira yako kama ipo vizuri lazima itafanya mapovuu juu...

Cc King'asti na wengine
 

Attachments

  • 1388691476513.jpg
    1388691476513.jpg
    35.8 KB · Views: 138
  • 1388691487782.jpg
    1388691487782.jpg
    26.1 KB · Views: 128
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom