M MINOCYCLINE JF-Expert Member Joined Apr 2, 2015 Posts 8,018 Reaction score 16,802 Jan 26, 2021 #1 Kuna Mtu tokea juzi Watanzania tuliambiwa na Mnyetishaji wetu mwenye Nembo ya Kenya kuwa ana CORONA leo kaonekana Shamba la Mahindi.
Kuna Mtu tokea juzi Watanzania tuliambiwa na Mnyetishaji wetu mwenye Nembo ya Kenya kuwa ana CORONA leo kaonekana Shamba la Mahindi.
J Joline JF-Expert Member Joined Sep 24, 2020 Posts 4,541 Reaction score 7,378 Jan 26, 2021 #3 Kitendawili gani Tena JAMANI? Sijaelewa [emoji23]
Neylu JF-Expert Member Joined May 28, 2012 Posts 2,938 Reaction score 1,844 Jan 26, 2021 #4 Hahahaaaaaaa.....Kwa hiyo unataka kusemaje??
Prisonerx JF-Expert Member Joined Jun 30, 2020 Posts 681 Reaction score 1,792 Jan 26, 2021 #5 Gerson Msigwa alitabiriwa kuwa na korona na bwana kigogo ila akaonekana katika ziara ya Mh. Rais wa Ethiopia. Sasa hivi mianya yote ya taarifa imezibwa kigogo anatapatapa kama samaki aliekosa maji 😁
Gerson Msigwa alitabiriwa kuwa na korona na bwana kigogo ila akaonekana katika ziara ya Mh. Rais wa Ethiopia. Sasa hivi mianya yote ya taarifa imezibwa kigogo anatapatapa kama samaki aliekosa maji 😁