ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
nakupa mji..................nenda arushaKitendawili!!!!!
Ni mweupe Kama Barafu, Na Ni mweuc Kama Giza, Kuliwa Ni Haramu na ana manyoya mengi mwilini. Jina lake lina herufi (5) Na linaanzia Na Herufi (X). Wanaume huonana nae mara 3 kwa cku lkn wanawake humuona mara 1 ktk uhai wao wote. wafalme, maaskari, viongozi na wababe wanamuogopa sana lakini cha ajabu watoto wanamchezea. Chakula chake ni chumvi, tangawizi na maziwa. Ni Nani huyo?
Mtu mzima atamwogopaje huku mtoto amchezee?Kitendawili!!!!!
Ni mweupe Kama Barafu, Na Ni mweuc Kama Giza, Kuliwa Ni Haramu na ana manyoya mengi mwilini. Jina lake lina herufi (5) Na linaanzia Na Herufi (X). Wanaume huonana nae mara 3 kwa cku lkn wanawake humuona mara 1 ktk uhai wao wote. wafalme, maaskari, viongozi na wababe wanamuogopa sana lakini cha ajabu watoto wanamchezea. Chakula chake ni chumvi, tangawizi na maziwa. Ni Nani huyo?
Mkuu hata mimi sijui Kwa kweli kuna sehemu nilikopy na siku fuatilia vizur jibuTupe jibu tumeshindwa mkuu,
Kwani nyoka huwa vipi?Mtu mzima atamwogopaje huku mtoto amchezee?
Inategemea na situation yenyeweKwani nyoka huwa vipi?
Hii n hadith mkuu...Kitendawili!!!!!
Ni mweupe Kama Barafu, Na Ni mweuc Kama Giza, Kuliwa Ni Haramu na ana manyoya mengi mwilini. Jina lake lina herufi (5) Na linaanzia Na Herufi (X). Wanaume huonana nae mara 3 kwa cku lkn wanawake humuona mara 1 ktk uhai wao wote. wafalme, maaskari, viongozi na wababe wanamuogopa sana lakini cha ajabu watoto wanamchezea. Chakula chake ni chumvi, tangawizi na maziwa. Ni Nani huyo?
Siku nyingine ni vizuri ukiuliza swali uwe na jibu la uhakika, usiendekeze sana kuchukua maswali bila majibu husika, ila sio kwa ubaya ni sehemu ya kujifunza pia kwako.Mkuu hata mimi sijui Kwa kweli kuna sehemu nilikopy na siku fuatilia vizur jibu