ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kitendawili!!!!!
Ni mweupe Kama Barafu, Na Ni mweuc Kama Giza, Kuliwa Ni Haramu na ana manyoya mengi mwilini. Jina lake lina herufi (5) Na linaanzia Na Herufi (X). Wanaume huonana nae mara 3 kwa cku lkn wanawake humuona mara 1 ktk uhai wao wote. wafalme, maaskari, viongozi na wababe wanamuogopa sana lakini cha ajabu watoto wanamchezea. Chakula chake ni chumvi, tangawizi na maziwa. Ni Nani huyo?
Ni mweupe Kama Barafu, Na Ni mweuc Kama Giza, Kuliwa Ni Haramu na ana manyoya mengi mwilini. Jina lake lina herufi (5) Na linaanzia Na Herufi (X). Wanaume huonana nae mara 3 kwa cku lkn wanawake humuona mara 1 ktk uhai wao wote. wafalme, maaskari, viongozi na wababe wanamuogopa sana lakini cha ajabu watoto wanamchezea. Chakula chake ni chumvi, tangawizi na maziwa. Ni Nani huyo?