Nilikuwepo kwenye show na niliokota pesa za diamond na nikishuhudia wabongo walicho fanya ilikuwa leaderz kiwanjani show ya tigo kiboko yao....alianza kiba akamalizia mnyama diamon walikomatwa wanarusha makopo kipigo walipata kwa polisi wengine hawakukamatwa.....tatizo bongo hatupendi mafanikio ya mtu alinifurahisha diamon alipo okota kopo moja na kulupiga busu kisha akapiga wimbo wake wa "mm mti wenye matunda milele siogopi kupigwa mawe" akasema atapigana kufa na kupona siku zote kuwa wa kwanza tanzania.....yeye mziki kwake ni biashara na ni kazi so anaheshimi mziki....kw show alivyo piga kiukweli utaona kuwa jamaa anakipaji cha pekee en u cant compare with anyone fuji hzo ndogo zilanza wakati mwana fa na Ay wakipafomu kikubwa nj kuwa wabongo wengi hatujitambui may be kwa vile ilikuwa show ya bure na maji wanakupa ndo mana lakin kwenye ukweli tuseme diamond anajua