Kitendo cha aliyekuwa CEO wa Simba SC Barbara kum 'Unfollow' Tajiri Mo Dewji na Kumfollow Rais wa Yanga Injinia Hersi sasa Moto utawaka

Hahahaha
Naona wengi wasichokiona.

Naona senema walah

Muda utaongea
 
Hiyo ndio tabia ya kike hatupaswi shangaa Leo kaolewa mlango huu jtatu kaolewa na baba MTU kbs Ila hivo hatakiwi mwanaume kufanya
 
Katika ubora wako
 
Kwa hiyo Barbara ataenda kufanya kazi na Manara? Maisha haya!?
 
Aliyebuni kifo cha mende alikuwa na akili sana, hii za kuwaweka wanawake juu ndo zinaharibu mambo kabisa. Wakiwa juu wanasahau kuwa kuna watu wako chini yao wao wanaona ni takataka.
Wamejisahaulisha kifo cha mende ila wajue hata wakikaa juu mwanaume anatokea hukohuko chini anapiga show mpaka mama anapoteza uelekeo.
 
Kwahiyo Yale mafumbo anakuwa anamlenga Mo? Ila wote wahindi hao wanajuana ugombi wa ndugu msiingilie.
 
Mambo ya Kupeana Club Bila Enough Vetting yatawacost simba, Kuna Nafasi ndani ya Simba hazipaswi Kugaiwa kama Njugu mana athari yake huwa kubwa sana Mtu huyo akihamia Upande wa Pili
 

Barbara hana impact yoyote sasa kwa Simba!!
Hata huyo Mo anaweza akaondoka tu akaenda kuwekeza Yanga!!!
 
Barbra akienda Yanga atakuwa amejiaibisha yeye binafsi na siamini kama anaweza kufanya hivyo. Na naahidi, akienda Yanga naacha kufuatilia michezo humu JF! Nimekaa hapa nakunywa K Vant!
 
Kuna mambo hua nikiyaona kwa Mo naona kabisa huu utajiri alio nao ni wa kurithi, hakuupambania kwa jasho na damu. Hivi tajiri alie upambania utajiri wake anawezaje kumuamini mwanamke?
 
Akili yako ni ndogo sana Yani una taka kusema mwanamke ana kasoro gani ?
Mama yako ni mwanaume ?
Jenga hoja juu ya uwezo wa utendaji wa mtu bila kuangalia jinsia yake.
Barbara kabla ya kuwa Simba kama CEO alikuwa CEO wa Kampuni ya Mo ya Metlna kampuni ya Metl ilifanya vizuri sana katika kipindi chake.
Mo akawa tajiri namba moja Afrika mashariki na namba moja Tanzania na tajiri kijana zaidi barani Afrika pia akishika namba 15 kwa utajiri barani Afrika.
Kama haya yana tokea mitandaoni ya vijembe, hayo ni mambo binafsi ambayo mimi na wewe hatuna hakika nini kilitokea au kimetokea kati yao.
Tutoe heshima kwa Barbara na tutoe heshima kwa Mo Dewji.
Tusichague upande na kutoa hukumu bila kuwa na uthibitisho wa jambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…