Kitendo cha CCM kumleta Wassira mzee wa miaka 80 inaonyesha upungufu wa human resource katika chama hicho

Wassira na Mbowe wamepishana miaka 14 tu

Wassira anafanya Mikutano 12 Kwa Siku 🐼
We Yohana, huo ulinganisho wa idadi ya mikutano si sawa. Mmoja hana haja ya kuomba kibali cha kufanya mikutano wakati yule wa pili anatakiwa afanye hivyo. Mara nyingi akiandaa tu mkutano tayari anapata zuio kwamba Mzee atatumia kiwanja hicho kwa wiki nzima hivyo hawawezi kufanya hapo.
 
Issue ni busara,experience na mtu ambaye hatamsumbua Mwenyekiti
Ukiweka vijana nao mara wanataka uenyekiti haipendezi
 
Sasa huko CCM vijana wenyewe ndio hawa akina Doto Magari, Joketi, Diamond Platinum, Ally kiba, Makonda, Nape, January Makamba nk.
 
Mtu asiyestahili akipewa fadhila ya nafasi kuongoza..maana yake waliompa hiyo fadhila ndio wanatumikia hiyo nafasi! Ccm iko chini ya tiss zitto alishasema jambo hili mara nyingi, wao ndio wanafadhili wanaowataka..chama kinaongozwa na mercenaries!
Ndio tatizo la nchi hii, kumpa mtu cheo sababu ya fadhila, si sababu ya efficiency au uwezo wa mtu
 
Issue ni busara,experience na mtu ambaye hatamsumbua Mwenyekiti
Ukiweka vijana nao mara wanataka uenyekiti haipendezi
Basi mwenyekiti anaogopa competitions, or ana fear ya kugeukwa na mtu akiwa kijana

Means nchi haimani vijana kwneye uongozi wa juu. Hili ni tatizo
 
Wameamua kuifanya CCM Mali ya celebrities, wasanii, madalali, watoto wa viongozi na watumishi wa Serikali, matokeo yake critical thinkers wameamua kufanya kazi zingine.

Wanasahau hawa wazee watakufa huku nyuma hakuna serious generation matokeo Tutsi, Asians, Arabs, Chinese, Kenyan nk wanapandikiza watu wao Taifa linatekwa huku tunachekacheka na akina Shilole, Jokate, Doto Magari, Ommy dimpoz, Juma lokole, Mwijaku, baba Revo nk.
 
Huyu aliyekuwa akisinzia bungeni muaka kumi iliyopita sababu ya uzee,Kwa nini watu wanastaafu ,umri ni factor kubwa
 
sijaelewa stress zote za nini? raisi samia anamaliza muda wake 2025/10 , na raisi ajaye atakuwa mkuu wa chama na atakuja na timu yake pia, hivyo wasira ni wa miezi michache tu, chini ya mwaka …
 
sijaelewa stress zote za nini? raisi samia anamaliza muda wake 2025/10 , na raisi ajaye atakuwa pia mkuu wa chama na atakuja na timu yake pia, hivyo wasira ni wa miezi michache tu, chini ya mwaka …
Wee kuna azimio huku naona TBC
Mama la Mamaa CCM wanaenda kuamua
 
'Warumi 2:2'
2 Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.


Soma kwa Makini maelezo hapa chini
Ndugu zangu watanzania nawapa msaada wa bure. Taifa la Tanzania kwa sasa password za kuendesha zimebadilika huko rohoni na yeyote atakayetaka kupingana na ukweli huku mwilini atapoteza Uhai.
Mungu amefuta utawala wa siasa kwa sasa tupo kwenye utawala wa kifalme. Utawala wa Mungu sio wa democracy
Mkitaka maelezo/maelekezo zaidi nitafuteni niwasaidie bure
Taifa la Tanzania limekuwa Taifa la kwanza duniani kuingia kwenye wokovu kwa sasa ndio Taifa lenye nguvu duniani.
Rais Samia kwa sasa ndiye Rais mwenye nguvu zaidi ya maraisi wote duniani kote na hakuna taifa lolote linaweza vamia au shambulia ndani ya Tanzania.
Tunaelekea kuipata Tanzania aliyoikusudia Mungu tangu kuumbwa kwake.
Huu sio unabii ni ukweli and I can proof whatever I m saying.
Kwa sasa kinachoendelea kwenye Taifa ni kwasababu ya haya mabadiriko aliyoyafanya Mungu.
Taifa lipo kwenye utawala wa haki kila kinachofanyika Mungu anaweka wazi hata ukifanya kwa siri kinafunuliwa.
 
Huwezi elewa
 
Hicho cheo hakiwafai vijana wa sasa hivi wa hovyo...

Ni cheo kikubwa sana ndani ya chama na nchi...


Cc: Mahondaw
 
Hivi Busara ndo ujinga gani? Maana kila mda mnasemaga busara,Hivi hizi busara zilishatufanyia nini mpaka muone ni kitu cha muhimu sana!
Viongozi wa kitanzania wanapenda sana kuongelea busara sijui busara gani hiyo inayowafanya wengi wao kuwa wezi,wasiowajibika na wanafiki!
Tunahitaji kiongozi wa kufanya mambo kwenda busara haileti chakula mezani ni unafiki tu wa kuwafunika watu mabaya yao!
 
Au Mama hataki mtu wa kumchallenge??...maana ni kama Mzee wetu ZALI LA MENTAL limemuangukia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…