Pre GE2025 Kitendo Cha CCM kupata Asilimia 99% za wizi kilitosha kumstaafisha Mbowe

Pre GE2025 Kitendo Cha CCM kupata Asilimia 99% za wizi kilitosha kumstaafisha Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe ndio aliyetoa tangazo na agizo la kwamba CHADEMA ikashiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa. Pamoja na madhaifu yaliyokuwepo ila bado alikioeleka chama kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa. Mwisho wa siku chama kikapata Asilimia 0.78 na CCM kikapata Asilimia 99.

Nikashangaa mwenyekiti analazimisha chama kushiriki huku vitendo viovu vikifanyika. Wagombea kuondolewa na vitendo kama hivyo. Mwenyekiti akakaa kimya mpaka mwisho na CCM ikavina ushindi batili.

Kitendo Cha Mbowe kukuingiza chama kwenye uchaguzi na baadae kuja na porojo za "tulishiriki uchaguzi ili kujua panapovuja" ni ulaghai mkubwa Sana.

Narudia Tena CCM kupata Asilimia 99 hata kama za wizi ni tusi kibwa Sana kwa CHADEMA, inaonesha mwenyekiti hawezi kupambana na system mbovu ya uchaguzi au amekubali kuingia kwenye mfumo wa serikali ya CCM .

Sina Imani na Mbowe.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe ndio aliyetoa tangazo na agizo la kwamba CHADEMA ikashiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa. Pamoja na madhaifu yaliyokuwepo ila bado alikioeleka chama kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa. Mwisho wa siku chama kikapata Asilimia 0.78 na CCM kikapata Asilimia 99.

Nikashangaa mwenyekiti analazimisha chama kushiriki huku vitendo viovu vikifanyika. Wagombea kuondolewa na vitendo kama hivyo. Mwenyekiti akakaa kimya mpaka mwisho na CCM ikavina ushindi batili.

Kitendo Cha Mbowe kukuingiza chama kwenye uchaguzi na baadae kuja na porojo za "tulishiriki uchaguzi ili kujua panapovuja" ni ulaghai mkubwa Sana.

Narudia Tena CCM kupata Asilimia 99 hata kama za wizi ni tusi kibwa Sana kwa CHADEMA, inaonesha mwenyekiti hawezi kupambana na system mbovu ya uchaguzi au amekubali kuingia kwenye mfumo wa serikali ya CCM .

Sina Imani na Mbowe.
Wewe mbona hujastaafu? Lisu si anaweza pata zero kabisa? 🤣🤣
 
Waache waendelee na Mbowe, sisi wananchi " tutawafurahisha" ,hawatapata kiti cha udiwani wala ubunge kama wanavyodhani hiyo 2025.
 
Ujumbe wangu kwa Wanachama wenzangu wa @ChademaTz

Kipind hiki ni muhimu kila mtu achunge kinywa chake

Zingatia maneno yatokayo kinywan mwako coz kuna mambo mnaandika humu mpaka mtu unajiuliza au wenzangu wamesahau kwamba 2025 ni kesho kutwa tu na tutahitaji sapoti ya wananchi?
Credit: Hilda Newton
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe ndio aliyetoa tangazo na agizo la kwamba CHADEMA ikashiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa. Pamoja na madhaifu yaliyokuwepo ila bado alikioeleka chama kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa. Mwisho wa siku chama kikapata Asilimia 0.78 na CCM kikapata Asilimia 99.

Nikashangaa mwenyekiti analazimisha chama kushiriki huku vitendo viovu vikifanyika. Wagombea kuondolewa na vitendo kama hivyo. Mwenyekiti akakaa kimya mpaka mwisho na CCM ikavina ushindi batili.

Kitendo Cha Mbowe kukuingiza chama kwenye uchaguzi na baadae kuja na porojo za "tulishiriki uchaguzi ili kujua panapovuja" ni ulaghai mkubwa Sana.

Narudia Tena CCM kupata Asilimia 99 hata kama za wizi ni tusi kibwa Sana kwa CHADEMA, inaonesha mwenyekiti hawezi kupambana na system mbovu ya uchaguzi au amekubali kuingia kwenye mfumo wa serikali ya CCM .

Sina Imani na Mbowe.
Ni kweli kabisa. Kwa sababu hii inaonesha kabisa kuwa vyama vya upinzani vimelala. Au hakuna upinzani kabisa.
 
Back
Top Bottom