Kitendo cha IGP Sirro kutoa hukumu ya Ugaidi wa Mbowe huku kesi ikiwa Mahakamani ni Uhalifu. Napendekeza kesi hiyo ifutwe haraka

Igp atalaanika na wafuwasiwake ipo siku Mungu hadhiakiwe Jiwe ni mfano mdogo wao itakuwa hatari zaidi
 
Daah ulikua mbele ya muda, uliyonena ndio yanayotokea, hizi serikali zetu za kiafrika kazi kwel kwel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…