Kitendo cha Katibu Mkuu kujiuzulu udhaifu upo kwa Mwenyekiti

Kitendo cha Katibu Mkuu kujiuzulu udhaifu upo kwa Mwenyekiti

Magufuli 05

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2023
Posts
1,433
Reaction score
2,791
Kwa uchache Sana,

Hii si Hali ya kawaida mwenyekiti jitathmini kama unafaa kuwatumikia Watanzania au haufai. Kwangu Mimi haufai.

Fikiria tu huyu ni katibu mkuu wa chama kaandamwa na skendo za namna hii Hadi anaamua kuachia ngazi. Vipi kuhusu mawaziri na watendaji wengine wenye mamlaka ya kikatiba? Hao si balaa tupu.

Mpaka haya yanat okea ni kweli wewe ulikuwa hujui pamoja na kwamba unazungukwa na vyombo vya kila aina . Watu wa aina hii ya katibu mkuu wapo wengi mno na unawaangali tu.

Huna muda kabisa. Watanzania wanalia kila mara kuhusu changamoto lukuki lakini umewaatamia watu wa namna hii mpaka wenyewe wanaona aibu na kuamua kuachia ngazi.

Sawa lakini nature itaamua kwa muda sahihi. Ngoja niishie hapa
 

Binafsi nitakuwa wa mwisho kuamini Ndugu Chongolo amejiuzulu kwa sababu alizozianisha kwenye barua yake. Bila shaka ana sababu zake nyingine na pia amefanya uchunguzi wake akajulishwa ni 'kwanini anatuhumiwa'
 

Binafsi nitakuwa wa mwisho kuamini Ndugu Chongolo amejiuzulu kwa sababu alizozianisha kwenye barua yake. Bila shaka ana sababu zake nyingine na pia amefanya uchunguzi wake akajulishwa ni 'kwanini anatuhumiwa'
Huenda wenye chama chao hawamtaki.
 
Unapopewa mamlaka makubwa lakini husikilizwi au kupewa heshima yako na watu wa chini yako, hayo mamlaka hayana maana yoyote kwako.
Wenye Ccm hawakumpenda tu Chongolo hivyo akapikiwa zengwe na yeye akaamua kukaa pembeni...ndio siaza zetu hizo.

Hizi siasa za Ccm hazina mnyonge wa kudumu (mradi uwe ndani ya Ccm), Kuna kipindi tu upepo utabadilika utaibuka tena.
 
Mipango inasukwa kwa 2025

kwa kuwa Chongolo anatokea DSTV hana shida anaendelea na majukumu yake mwingine kama Msaidizi wa Amiri jeshi

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Ccm inamiliki Tanzania yote ikiwemo vyombo vyote vya ulinzi na usalama bila kusahau tume ya uchaguzi.

Ccm huwa ni mshindi hata kabla ya kupigwa kura iwe raia wapende au wasipende.

Sasa hiyo mipango ni ya nini tena?...au wanahalalisha tu posho za vikao?
 
Vp, kijana naskia pia jitihada za kukitaka KITI Cha boss aliyejiengua pia zimegonga mwamba.
 
Wenye Ccm hawakumpenda tu Chongolo hivyo akapikiwa zengwe na yeye akaamua kukaa pembeni...ndio siaza zetu hizo.

Hizi siasa za Ccm hazina mnyonge wa kudumu (mradi uwe ndani ya Ccm), Kuna kipindi tu upepo utabadilika utaibuka tena.
Wenye ccm ndio akina nani hao mkuu
 
Wenye Ccm hawakumpenda tu Chongolo hivyo akapikiwa zengwe na yeye akaamua kukaa pembeni...ndio siaza zetu hizo.

Hizi siasa za Ccm hazina mnyonge wa kudumu (mradi uwe ndani ya Ccm), Kuna kipindi tu upepo utabadilika utaibuka tena.
CCM haina mwenyewe tena, waasisi waliwafikiria watanzania wote, ilipata momentum ambayo hata mtu mwenye akili ndogo kabisa, akiwa kwenye usukani bado mwendo unakuwepo.
Hata hivyo, tunahitaji wananchi wenye uelewa, na vyama vingine vyenye momentum kama hiyo kwa mustakabali mwema wa taifa.
 
Fikiria tu huyu ni katibu mkuu wa chama kaandamwa na skendo za namna hii Hadi anaamua kuachia ngazi. Vipi kuhusu mawaziri na watendaji wengine wenye mamlaka ya kikatiba? Hao si balaa tupu.
Nawaza kuhusu machawa tu hali ikoje
 
Kwa uchache Sana,

Hii si Hali ya kawaida mwenyekiti jitathmini kama unafaa kuwatumikia Watanzania au haufai. Kwangu Mimi haufai.


Sawa lakini nature itaamua kwa muda sahihi. Ngoja niishie hapa
Wewe Ukiwa Waziri unaweza jiuzulu? Umewahi sikia hata tetesi za Waziri kujiuzulu? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom