Kitendo cha Katibu Mkuu kujiuzulu udhaifu upo kwa Mwenyekiti

Kitendo cha Katibu Mkuu kujiuzulu udhaifu upo kwa Mwenyekiti

Mbona unamhukumu mtu bila ushahidi.Kwa nini usiamini kuwa Kuna watu wameamua kutengeneza vitu ili kuharibu sifa ya Chongolo? Kwa nini usiamini kuwa hizi ni siasa tu?. Why now? Watu wengine wanahoja kwa nini baadae ya aliyekuwa RC kupewa cheo na haya yanatokea ukingatia uhusiano mbovu wa Hawa wawili toka kipindi Cha nyuma? Hayo yanahitaji kuwa prove to the contrary ili kutoa hukumu.Who is to benefit from this amputated incident.
Hakuna mtu mwenye akili timamu atafanya kazi na Makonda
 
Back
Top Bottom