Kitendo cha kugeuza elimu kuwa biashara, ni mateso kwa wazazi/walezi na wanafunzi.

Kitendo cha kugeuza elimu kuwa biashara, ni mateso kwa wazazi/walezi na wanafunzi.

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Asikwambie mtu watu wanataka A's na hela tu mengine mtajua wenyewe wazazi
1. watoto wanakalishwa madarasani kama wafungwa
2. wanakaririshwa midude hadi wanachanganyikiwa
3. watoto hawako huru, hawajifunzi vitu vya ziada nje ya masomo
4. wazazi wanteseka na ada ada ada hadi wanachanganyikiwa
5 tunazalisha kizazi cha kukariri kariri tuhawawezi kujitegemea kwa lolote.

Ni ngumu sana kujua ubora wa elimu kwa sababu kila shule itatumia njia yoyote ile kufaulisha ili kuvuita wateja
 
Huu mtanange wa elimu kila siku unakuwa mmbichi!
 
Asikwambie mtu watu wanataka A's na hela tu mengine mtajua wenyewe wazazi
1. watoto wanakalishwa madarasani kama wafungwa
2. wanakaririshwa midude hadi wanachanganyikiwa
3. watoto hawako huru, hawajifunzi vitu vya ziada nje ya masomo
4. wazazi wanteseka na ada ada ada hadi wanachanganyikiwa
5 tunazalisha kizazi cha kukariri kariri tuhawawezi kujitegemea kwa lolote.

Ni ngumu sana kujua ubora wa elimu kwa sababu kila shule itatumia njia yoyote ile kufaulisha ili kuvuita wateja
Kama mtoto wako unamsomesha expensive shcool and yet haielewi kama point number 2, hayuko huru kama number 3, na ada inakutesa 4

Tatizo ni lako mzazi kwanz akumpelekw shule usiyoweza kuhudumia, pili kumpeleka shule ambayo kiakil mtoto hana uwezo wa kuimudu

Tafuta pesa, mpeleke mtoto kwa level yake. Usijumuishe watoto wa watu kwenye malalamiko yako
 
Mimi nisome kayumba, darasa moja watoto 90-120.
Halafu kamwanangu nako kateseke
Hii haijakaa sawa
 
Back
Top Bottom