Kitendo cha kumuengua Kagere na kumsajili mzungu, kuna mabadiliko chanya au hasi??

Kitendo cha kumuengua Kagere na kumsajili mzungu, kuna mabadiliko chanya au hasi??

44mg44

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
2,158
Reaction score
2,186
Ndugu zangu Wana Simba nahisi performance ya Timu yetu tumeiona na hapa nawahakikishieni kama itaendelea hivi tusitegemee ubingwa wa ligi kuu.

Ukiangalia usajili uliofanyika naona hakuna mabadiliko chanya yeyote. Tusidanganyane mbadala wa Kagere haupo kabisa, Bora hata wangemwacha tu!! Nini maoni yako!!
 
Back
Top Bottom