Kitendo cha Lema na Familia yake kupewa Asylum Canada kinaashiria Taifa limeanza kutengeneza wakimbizi wa kisiasa, jambo ambalo halina afya

Atoe taarifa polisi gani? Hivi kesi ya lissu kupigwa risasi 16 inaendeleaje?
Lissu anajuwa kilichomsibu ila hataki kusema ukweli tu....inasemekana alikuwa anatembea na mke wa mtu na ndiyo maana serikali haikuchukulia maanani kesi yake because they know the truth wanamsubiri yeye mwenyewe aseme ukweli. Mbona Lissu hajaenda polisi kushitaki kama maisha yake yako hatarini, na nani serikalini atake kumuua yeye wakati hana umuhimu wowote hapa nchini?
 
Nikikumbuka mikwara ya huyu jamaa na shangaa sana kakimbia. Umwamba wote jukwaani kuwa yeye haogopi mtu ila mungu. Leo hii amekimbia bila hata kutishwa
 
Amekimbia madeni yake yaliyosomwa bungeni ya milioni zaidi ya 400?

Lema unazidi kuwachafua zaidi wachaga, dawa ya deni ni kulipa siyo kukimbia na kujifanya mkimbizi feki, sasa umekimbilia kwa wazungu watakupa kazi ya kuosha vibibi na vibabu.
Chadema na watu wake wameshazoea kuishi kimaigizo muda wote wao wamekaa kitamthilia tamthilia.Wataigiza mpaka watakoma nchi inasonga mbele
 
Fanya uchunguzi. Kuna watu wanaona sifa kuwa wakimbizi. Ugomvi ulipozuka Kenya, wakenya wengi Ulaya waliomba ukimbizi. Mauaji ya Pemba yaliwapa nafasi wazenj waliokwa ulaya kwa kujificha kuomba ukimbizi na baadaye TZ tukawekewa visa. Wapo wa-TZ kibao ulaya wanaojidai ni wakimbizi wa Sudan.

Lema ni mmoja wa wagombea aliyeshirikiana sana na mwenzake wa CCM hata ktk picha, iweje ghafla atishiwe baada ya uchaguzi. Tulioko Arusha tunajua amekimbia madeni. Madeni hayalipiki na ilitokana pia na kufukuzwa Bungeni kwa muda mrefu
 
Hapo zamani za kale,Yesu Masiya na wazazi wake walikimbilia Misri,naye Mtume Muhammad kwa wakati wake akikimbilia Yathrib uitwao leo Madina,baadaye walirudi

Tukumbushe vizuri. Hivi nao walikimbia baada ya kushindwa uchaguzi ili maisha yasiwaendee kombo, ikiwemo kulemewa na mzigo wa madeni?

Ni mzaha wa ajabu sana kujaribu kuwalinganisha wateule wa Mungu na Savimbian and Trumpian politicians!
 
Ndio wanavyotuona sisi watu wa vijijini

😀
 
N
Chadema na watu wake wameshazoea kuishi kimaigizo muda wote wao wamekaa kitamthilia tamthilia.Wataigiza mpaka watakoma nchi inasonga mbele
Nyinyi donakantri mnasonga mbele na kukopa kwa wachina bila kuweka dhamana ya rasilimali kwa sababu hao sio mabeberu.
 
Tukumbushe vizuri. Hivi nao walikimbia baada ya kushindwa uchaguzi ili maisha yasiwaendee kombo, ikiwemo kulemewa na mzigo wa madeni?

Ni mzaha wa ajabu sana kujaribu kuwalinganisha wateule wa Mungu na Savimbian and Trumpian politicians!
Maisha yana thamani bila kujali makelele ya washangiliaji,hata Mwangosi alikatiliwa uhai mchana mnaona,unafikiri mitume hawakukimbia madeni isipokuwa keki.
 
Ehee,tuwashindanishe lissu na magu kwenye uwanja wa kutembea na wake za watu,hebu temea chini we kijana.
 
Disapeared and dead-kabudi
Unataka kujitutumua kutumia lugha ya malkia wakati huwezi, andika Kiswahili tu usifikirie kiingereza ni bora kuliko Kiswahili. Huo ndio tunaita upimbi!

''Disappeared or dead is different from disappeared and died.''
 
Afya ni kubaki nyumbani na kupigwa risasi.
 
Akili zingine,hii inaashiria kwamba Lema alikuwa agent wa mabeberu all along binti,mbona hii iko wazi.Do you really know what the opposition is.Ni mbinu za Western countries za destabilization of countries.Ni system ile ile ya devide and rule.Amka binti.Mmelishwa matango mwitu sasa mna regurgitate.Very sad.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…