Pre GE2025 Kitendo cha Mahakama kwenda kutoa hukumu ya TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni kuzidi kubariki uovu wa CCM

Pre GE2025 Kitendo cha Mahakama kwenda kutoa hukumu ya TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni kuzidi kubariki uovu wa CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Matulanya Mputa

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2023
Posts
245
Reaction score
655
Tunategemea muda na saa yoyote Mahakama Kuu, kutoa hukumu ya kesi iliyofunguliwa na mawakili wasomi wakiongozwa na Bob Chacha Wangwe juu ya kupinga TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Maono yangu kwakua nimeoteshwa ni kwamba Mahakama na Jaji atakayetoa hukumu atatoa maamuzi ya kubariki TAMISEM kuendelea kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Pia maono yangu uchaguzi wa 2025 nao utasimamiwa na tume ile ile, watu wale wale kwa kigezo au vigezo vitakavyotolewa katika hukumu hii.

Kipi cha kujifunza Tanzania tusitegemee kuja kuwa na uchaguzi wa huru na haki, tusitegemee kuitoa CCM kwa kupeleka kesi mahakamani kwakua mahakama zina maelekezo teyari.

Pia tujifunze kuwa Mahakama, na vyombo vya dola ndivyo vinatuumiza, pia mawakili wa kujitegemea msipende peleka kesi zenu kwenye mahakama za Tanzania hasa zinazo igusa CCM kwa lengo la kuiondoa madarakani bali unganisheni nguvu kwenye vyama vya upinzani na kutoa elimu ya uraia kwa watanzania hasa wa vijijini juu ya uzarimu wa Serikali na CCM hapo mtapata uungwaji mkono lakini mahakama siyo sehemu za kukimbilia.

Baada ya kusema hayo ngoja nirudi ofisini kupitia mafaili yenu.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Bob Wangwe aiomba Mahakama Kuu iizuie TAMISEMI kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
 
Tunategemea muda na saa yeyote mahakama kuu, kutoa hukumu ya kesi iliyofunguliwa na mawakili wasomi wakiongozwa na Bob Chacha Wangwe juu ya kupinga TAMISEM kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa.

Maono yangu kwakua nimeoteshwa ni kwamba mahakama na jaji atakayetoa hukumu atatoa maamuzi ya kubariki TAMISEM kuendelea kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa.

Pia maono yangu uchaguzi wa 2025 nao utasimamiwa na tume ile ile, watu wale wale kwa kigezo au vigezo vitakavyotolewa katika hukumu hii.
Kipi cha kujifunza Tanzania tusitegemee kuja kuwa na uchaguzi wa huru na haki,tusitegemee kuitoa CCM kwa kupeleka kesi mahakamani kwakua mahakama zina maelekezo teyari.

Pia tujifunze kuwa Mahakama, na vyombo vya dola ndivyo vinatuumiza, pia mawakili wa kujitegemea msipende peleka kesi zenu kwenye mahakama za Tanzania hasa zinazo igusa CCM kwa lengo la kuiondoa madarakani bali unganisheni nguvu kwenye vyama vya upinzani na kutoa elimu ya uraia kwa watanzania hasa wa vijijini juu ya uzarimu wa serikali na CCM hapo mtapata uungwaji mkono lakini mahakama siyo sehemu za kukimbilia.

Baada ya kusema hayo ngoja nirudi ofisini kupitia mafaili yenu.
ramli na ushirikina na kitu mbaya sana,

unajikuta ni mwenye hofu tu kila wakati mihemko, hasira na naegativity vimejaa moyoni na katika fikra zako...🤣

utumwa na uraibu mbaya sana huu,
hata hivyo,
uoga wako ndiyo umaskini wako. jiamini kua jasiri. fanya kazi zako kwa bidii na nafasi, achia na wengine wafanye kazi zao kwa uhuru na nafasi na tusonge mbele kama Taifa 🐒
 
  • Thanks
Reactions: Tui
ramli na ushirikina na kitu mbaya sana,

unajikuta ni mwenye h tu kila wakati mihemko, hasira na naegativity vimejaa moyoni na katika fikra zako...

utumwa na uraibu mbaya sana huu,
hata hivyo,
uoga wako ndiyo umaskini wako. jiamini kua jasiri. fanya kazi zako kwa bidii na nafasi, achia na wengine wafanye kazi zao kwa uhuru na nafasi na tusonge mbele kama Taifa 🐒
Hilo ndio ukweli na ukubali mengine yanayofanywa na serikali ili kuipa ushindi ccm sio kigezo cha kukubalika na wananchi,

Mbona mnakataa bila ya nguvu hizo ccm haishindi.
 
Hilo ndio ukweli na ukubali mengine yanayofanywa na serikali ili kuipa ushindi ccm sio kigezo cha kukubalika na wananchi,

Mbona mnakataa bila ya nguvu hizo ccm haishindi.
ushindi wa nini sasa kwan mahakamani kuna uchaguzi gentleman?🐒

au umeona kuna mahali maandalizi ya uchaguzi yamesimama? actually, mahakamani itatoa maelezo tu juu ya uhalali wa jambo hilo ambalo miaka yote limekua likifanywa na wizara husika...

ama ilikua vinginevyo, na ama ilikua inafanyika gizani? akili mgando bana zikiyayuka ni matatizo matupu, bahari ya malalamiko ina kupwa na kujaa 🤣

akili imevurugwa kabisa unawaza kushindwa tu 🤣
 
Tunategemea muda na saa yoyote Mahakama Kuu, kutoa hukumu ya kesi iliyofunguliwa na mawakili wasomi wakiongozwa na Bob Chacha Wangwe juu ya kupinga TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Ouvu siku zote hushinda kwa uovu!
Uovu
utatumika ili kuweza kushinda kesi hii na baadae ccm iweze kushinda uchaguzi kwa
uovu
 
Tunategemea muda na saa yoyote Mahakama Kuu, kutoa hukumu ya kesi iliyofunguliwa na mawakili wasomi wakiongozwa na Bob Chacha Wangwe juu ya kupinga TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Maono yangu kwakua nimeoteshwa ni kwamba Mahakama na Jaji atakayetoa hukumu atatoa maamuzi ya kubariki TAMISEM kuendelea kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Pia maono yangu uchaguzi wa 2025 nao utasimamiwa na tume ile ile, watu wale wale kwa kigezo au vigezo vitakavyotolewa katika hukumu hii.

Kipi cha kujifunza Tanzania tusitegemee kuja kuwa na uchaguzi wa huru na haki, tusitegemee kuitoa CCM kwa kupeleka kesi mahakamani kwakua mahakama zina maelekezo teyari.

Pia tujifunze kuwa Mahakama, na vyombo vya dola ndivyo vinatuumiza, pia mawakili wa kujitegemea msipende peleka kesi zenu kwenye mahakama za Tanzania hasa zinazo igusa CCM kwa lengo la kuiondoa madarakani bali unganisheni nguvu kwenye vyama vya upinzani na kutoa elimu ya uraia kwa watanzania hasa wa vijijini juu ya uzarimu wa Serikali na CCM hapo mtapata uungwaji mkono lakini mahakama siyo sehemu za kukimbilia.

Baada ya kusema hayo ngoja nirudi ofisini kupitia mafaili yenu.

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Bob Wangwe aiomba Mahakama Kuu iizuie TAMISEMI kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Huyu ndiye yule jaji aliyetoa hukumu na kuwa mjibu maombi wa jamhuri kwenye hukumu ya kina soka juzi. Tanzania tunahitaji mbinu mbadala za nguvu ya umma!!
 
Ushauri wa bure kwa vyama makini hacheni kushiriki chaguzi yeyote inayosimamiwa na TAMISEMI na tume hii ambayo ilishiriki kuvuruga uchaguzi 2020.

Ni aibu na ajabu mtu aliyetaka kukuzuru na kukua na kasema adharani leo anakuahidi kuwa hatakupa sumu tena, so wapinzani msishiriki huu uchaguzi nawaita mara tatu, TAMISEM wanamatokeo teyari ya uchaguzi serikali za mitaa.

Nimemarza.
 
ramli na ushirikina na kitu mbaya sana,

unajikuta ni mwenye hofu tu kila wakati mihemko, hasira na naegativity vimejaa moyoni na katika fikra zako...🤣

utumwa na uraibu mbaya sana huu,
hata hivyo,
uoga wako ndiyo umaskini wako. jiamini kua jasiri. fanya kazi zako kwa bidii na nafasi, achia na wengine wafanye kazi zao kwa uhuru na nafasi na tusonge mbele kama Taifa 🐒
Sijaekuekewa kwamba uchaguzi uendelee kusimamiwa na wakurugenzi ambao wamechaguliwa na kada wa ccm
 
ramli na ushirikina na kitu mbaya sana,

unajikuta ni mwenye hofu tu kila wakati mihemko, hasira na naegativity vimejaa moyoni na katika fikra zako...🤣

utumwa na uraibu mbaya sana huu,
hata hivyo,
uoga wako ndiyo umaskini wako. jiamini kua jasiri. fanya kazi zako kwa bidii na nafasi, achia na wengine wafanye kazi zao kwa uhuru na nafasi na tusonge mbele kama Taifa 🐒
Wewe ni miongoni mwa watu ambao mlikuwa porini 2020
 
Back
Top Bottom