sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Huu ni udhalilishaji
Kwa kweli kitendo cha Manara kumtupia madongo huyu binti ilikuwa ni ukatili, yani Barbara alikuwa anaombea tu muda uende haraka Manara amalize maana si kwa makombora ya madongo haya Manara aliyokuwa akimfyatulia binti, Manara ana mdomo mchafu aiee.
Ilibidi binti wa watu aangalie pembeni na aikaze sana mikono na meno ili kujizuia asitetemeke na kuzuia machozi
Manara kaona haitoshi bado anapasha kiporo kaweka hii video insta, huu sio ukatili kweli?
Kwa kweli kitendo cha Manara kumtupia madongo huyu binti ilikuwa ni ukatili, yani Barbara alikuwa anaombea tu muda uende haraka Manara amalize maana si kwa makombora ya madongo haya Manara aliyokuwa akimfyatulia binti, Manara ana mdomo mchafu aiee.
Ilibidi binti wa watu aangalie pembeni na aikaze sana mikono na meno ili kujizuia asitetemeke na kuzuia machozi
Manara kaona haitoshi bado anapasha kiporo kaweka hii video insta, huu sio ukatili kweli?