CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Babra alikuwa anakaribia kutapika, domo la Haji Manara linatoa harufu mbaya sana,Huu ni udhalilishaji...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babra alikuwa anakaribia kutapika, domo la Haji Manara linatoa harufu mbaya sana,Huu ni udhalilishaji...
Kivipi mkuuSimba walichemka sana kugombana na hupo mr.propagandist
Azinguliwe pasipo kugusa maumbile yakeKama unakaa nyumba ya vioo usiwe mgomvi,watu wanapiga kwenye mshono.akizingua na yeye atazinguliwa bampa to bampa.
Umeongea bila hekima hilo jambo ndio lilioafanya mpka ww umezaliwa kama mama ako asingekuwa anaingia mwezini inamaanisha angekuwa ana uwezo wa kutoa mayai hata ww usingezaliwa hivyo muda mwingine uwe unafikiria kabla ya kuongea hata mungu wako atakuwa hayupo na ww kwa maneno hayoTulia wewe, kuna tusi gani hapo?
Yanga hoyeee
Naomba kuuliza.!!Huu ni udhalilishaji
Kwa kweli kitendo cha Manara kumtupia madongo huyu binti ilikuwa ni ukatili, yani Barbara alikuwa anaombea tu muda uende haraka Manara amalize maana si kwa makombora ya madongo haya Manara aliyokuwa akimfyatulia binti, Manara ana mdomo mchafu aiee.
Ilibidi binti wa watu aangalie pembeni na aikaze sana mikono na meno ili kujizuia asitetemeke na kuzuia machozi
View attachment 2248585
Manara kaona haitoshi bado anapasha kiporo kaweka hii video insta, huu sio ukatili kweli?
View attachment 2248544
Nikukumbushe kuanzia 2014/2015, 2015/2016 na 2016/2017 Yanga tumechukua ubingwa na kumnyanyasa sana Simba kuna msimu hapo mtani alikufa nje ndani kitu ambacho ni adimu sana kutokea kwenye derby sasa sijui hyo 2015~2020 yako umeitoa wapi Yanga tumekuja kupotea 2017/2018,2018/2019,2019/2020 na 2020/2021 hii 2021/2022 tumerudi tenaNyakati za Magumashi Yanga hufanya vizuri sana
sijui mahusiano ya Magumashi na Yanga
2015-2021 ilipotea kabisa
Maneno na chokochoko dhidi ya mpinzani ni muhimu sana kwenye soka usipopata watu kama manara na jery muro ladha ya mpira inapotea,kazi zao zinajulikanaKivipi mkuu
Ila huyu CEO ana wakati mgumu sana kwa baadhi ya viongozi wa Simba hawa mkubali kabisa. Nilitizama Intv ya Kassim Dewji YouTube na EFM,mwamba aliongea shit, halafu hawa ndio wahuni wenyewe wa Simba wanayo ijua michezo michafu.Huu ni udhalilishaji
Kwa kweli kitendo cha Manara kumtupia madongo huyu binti ilikuwa ni ukatili, yani Barbara alikuwa anaombea tu muda uende haraka Manara amalize maana si kwa makombora ya madongo haya Manara aliyokuwa akimfyatulia binti, Manara ana mdomo mchafu aiee.
Ilibidi binti wa watu aangalie pembeni na aikaze sana mikono na meno ili kujizuia asitetemeke na kuzuia machozi
View attachment 2248585
Manara kaona haitoshi bado anapasha kiporo kaweka hii video insta, huu sio ukatili kweli?
View attachment 2248544
Babra kaja na mfumo mwingine wa kuendesha Simba ,mianya yote imezibwa ndo maana wanaumia , Imagine tenda ya jezi Kasim alikuwa analipa mil 300,Babra kaja na mfumo kwamba itangazwe tenda bila longo longo,ndo vunja bei katoa 2b ,saaa unadhani watu kama hao watampenda?Ila huyu CEO ana wakati mgumu sana kwa baadhi ya viongozi wa Simba hawa mkubali kabisa. Nilitizama Intv ya Kassim Dewji YouTube na EFM,mwamba aliongea shit, halafu hawa ndio wahuni wenyewe wa Simba wanayo ijua michezo michafu.
Kwenda mwezini ni sayansi weweUmeongea bila hekima hilo jambo ndio lilioafanya mpka ww umezaliwa kama mama ako asingekuwa anaingia mwezini inamaanisha angekuwa ana uwezo wa kutoa mayai hata ww usingezaliwa hivyo muda mwingine uwe unafikiria kabla ya kuongea hata mungu wako atakuwa hayupo na ww kwa maneno hayo
Umeongea bila hekima hilo jambo ndio lilioafanya mpka ww umezaliwa kama mama ako asingekuwa anaingia mwezini inamaanisha angekuwa ana uwezo wa kutoa mayai hata ww usingezaliwa hivyo muda mwingine uwe unafikiria kabla ya kuongea hata mungu wako atakuwa hayupo na ww kwa maneno hayo
Jipe moyo hivyo hivyo,manara yuko happy sababu ya anguko la simba ikiwa yeye alitolewa kwa dharau na kutuhumiwa anaihujumu now day hayupo ndani ya makolo na ndo hali imezidi kuwa mbaya,Manara bado anaipenda simba na hata yanga kule nafsi yake haijaridhika ila ukiona kwenye social network yuko happy ila inside bado haja move on.
Nawe umshukuru mo alivyoiokoa kolo fcMshukuru Mungu ngyvu ya JISIEM imesaidia
Mkuu atakusumbua huyo, hana miaka mitatu tangu aanze kushabikia mpira.Nikukumbushe kuanzia 2014/2015, 2015/2016 na 2016/2017 Yanga tumechukua ubingwa na kumnyanyasa sana Simba kuna msimu hapo mtani alikufa nje ndani kitu ambacho ni adimu sana kutokea kwenye derby sasa sijui hyo 2015~2020 yako umeitoa wapi Yanga tumekuja kupotea 2017/2018,2018/2019,2019/2020 na 2020/2021 hii 2021/2022 tumerudi tena