mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
hata last season walikuja na hii trickHawafanyi hivi kwa makusudi, huu ni mkakati ili waamuzi waanze kuchezesha kwa hofu mechi zao na wao wapate faida.View attachment 1706247
kutoka kampa kampa tena mpaka kulilia penatiDaaah,zile tambo kuwa wanabeba ndoo zimeishia wapi jamani? Swala la morisson hawalizungumzii tena,hizi ni dalili kuwa dozi inawaingia sawa sawa.
Walianza kuwa mashabiki wa kila mpinzani wa simba kimataifa ila kila waliyemshabikia aliishia kutafunwa na mnyama dili likaharibika,sasa wameanza kutafuta vijisababu
All in all yanga kikosi hakijitoshelezi,na nawataarifu tu mkijidanganya kujitoa ligi kuu mwende ligi ya zanzibar mtakutana kule na mnyama anaitwa mla ndege.
Hakuna point hata moja uliyojibu toka kwenye hoja za mtoa hoja umebakia kuzusha mengine ya mtaani ya MO ambayo hayana mantiki kwa mtu anayejua akisemachoWewe ulipost hii taarifa ndio mshamba mkubwa wewe kwa elimu yako ya masuala ya mpira utajilinganisha na Mwakalebela usimfundishe kitu cha kuongea utajilinganisha na mtu mwenye Masters mikia ni mikia tu ndio shida ya kuuza timu kwa wahindi Mo mhindi ceo ndio walewale meneja wa timu ya wanawake mtoto wa Mo hapi ndipo mtu mwenye akili angequestion hapo oo kwa sababu tunapata matokeo mazuri basi hivi uliisikia taarifa ya fedha ya simba kwa nwaka uliopita mmepigwa na hamjitambua kazaneni na hayo sio habari za Mwakalebela wewe kubishana na Mwakalebela ni sawa na mtoto wa darasa la nne kubishana na mwanafunzi wa chuo kikuu katika mambo ya Equestion
Wewe ulipost hii taarifa ndio mshamba mkubwa wewe kwa elimu yako ya masuala ya mpira utajilinganisha na Mwakalebela usimfundishe kitu cha kuongea utajilinganisha na mtu mwenye Masters mikia ni mikia tu ndio shida ya kuuza timu kwa wahindi Mo mhindi ceo ndio walewale meneja wa timu ya wanawake mtoto wa Mo hapi ndipo mtu mwenye akili angequestion hapo oo kwa sababu tunapata matokeo mazuri basi hivi uliisikia taarifa ya fedha ya simba kwa nwaka uliopita mmepigwa na hamjitambua kazaneni na hayo sio habari za Mwakalebela wewe kubishana na Mwakalebela ni sawa na mtoto wa darasa la nne kubishana na mwanafunzi wa chuo kikuu katika mambo ya Equestion
Asee na Mimi ni shabiki wa Yanga nimeshangaa wanayanga wenzangu wengi wengi wanalalamika vijiweni!!! Kulikoni?Mimi ni shabiki wa Yanga kama nijulikanavyo hapa jukwaani.
Ila nimeshangaa kinoma kuona Mwakalebela akiitisha vyombo vya habari na kuanza kulalamika kuhusu kuonewa na waamuzi viwanjani, cha ajabu zaidi anasema kuwa Yanga itajitoa kwenye ligi endapo changamoto alizozisema zikiendelea. Binafsi ninaona ni ujinga wa kiwango cha juu zaiidi kwa kiongozi mkubwa kama yule wa klabu kufanya jambo kama lile la kijinga.
Ni kweli changamoto ya uamuzi imeonekana, lakini sio sababu ya Timu kushindwa kufanya vizuri mpaka uitishe vyombo vya habari na kuanza kuwalalamikia wengine kwa makosa yao wenyewe viongozi. Kushindwa kupata matokeo mazuri recently kumetokana na machaguo ya kijinga ya mwalimu na sio kwa sababu ya kunyimwa penati.
Ushamba huu iliwahi kufanywa na Haji Manara alipokuwa anaita waandishi wa habari akiwa na Flat Screen akionyesha jinsi Simba ilivyokuwa inanyimwa penati. Sasa inakuwaje kiongozi wa juu wa hadhi yake arudie kufanya ushamba wa aina hii?
Ametukera na kutuudhi wengi.
Kwamba zile 3 mulizoruhusu kufungwa hazikua halali? Kama team inaweza kufungwa goli 3, kisha ikakaa kutegemea huruma/ favor ya mwamuzi ni kichekesho cha mwaka. Ni mara ngapi Yanga imeshapewa penalty na opponent wakalaumu, na mara ngapi imenyimwa wakalaumu?Ni kweli waamuzi wanaionea sana Yanga bana, acheni ukweli usemwe.
Tunaangalia mechi za simba na pia tunaona mechi za yanga.
We Uto...Huyu demigod ni Yanga tunafahamu vilivyo na huwa tunakuwa na mjadala ya maana sana hapa Jukwaani.Wewe ulipost hii taarifa ndio mshamba mkubwa wewe kwa elimu yako ya masuala ya mpira utajilinganisha na Mwakalebela usimfundishe kitu cha kuongea utajilinganisha na mtu mwenye Masters mikia ni mikia tu ndio shida ya kuuza timu kwa wahindi Mo mhindi ceo ndio walewale meneja wa timu ya wanawake mtoto wa Mo hapi ndipo mtu mwenye akili angequestion hapo oo kwa sababu tunapata matokeo mazuri basi hivi uliisikia taarifa ya fedha ya simba kwa nwaka uliopita mmepigwa na hamjitambua kazaneni na hayo sio habari za Mwakalebela wewe kubishana na Mwakalebela ni sawa na mtoto wa darasa la nne kubishana na mwanafunzi wa chuo kikuu katika mambo ya Equestion
Kunywa maji kwanza, unaonekana una hasira sana uto namba mojaWewe ulipost hii taarifa ndio mshamba mkubwa wewe kwa elimu yako ya masuala ya mpira utajilinganisha na Mwakalebela usimfundishe kitu cha kuongea utajilinganisha na mtu mwenye Masters mikia ni mikia tu ndio shida ya kuuza timu kwa wahindi Mo mhindi ceo ndio walewale meneja wa timu ya wanawake mtoto wa Mo hapi ndipo mtu mwenye akili angequestion hapo oo kwa sababu tunapata matokeo mazuri basi hivi uliisikia taarifa ya fedha ya simba kwa nwaka uliopita mmepigwa na hamjitambua kazaneni na hayo sio habari za Mwakalebela wewe kubishana na Mwakalebela ni sawa na mtoto wa darasa la nne kubishana na mwanafunzi wa chuo kikuu katika mambo ya Equestion
Mi najiuliza hivi yule Mwakalebela aliyekuwa Tff na huyu wa yanga ni mmoja, kama ni mmoja kwanini alipokuwa Tff alifanya kazi vizuri lakini alipokuja yanga amekuwa utopolo.
Tatizo linaweza kuwa yanga au Mwakalebela binafsi.
Ni kweli waamuzi wanaionea sana Yanga bana, acheni ukweli usemwe.
Tunaangalia mechi za simba na pia tunaona mechi za yanga.
Wewe ulipost hii taarifa ndio mshamba mkubwa wewe kwa elimu yako ya masuala ya mpira utajilinganisha na Mwakalebela usimfundishe kitu cha kuongea utajilinganisha na mtu mwenye Masters mikia ni mikia tu ndio shida ya kuuza timu kwa wahindi Mo mhindi ceo ndio walewale meneja wa timu ya wanawake mtoto wa Mo hapi ndipo mtu mwenye akili angequestion hapo oo kwa sababu tunapata matokeo mazuri basi hivi uliisikia taarifa ya fedha ya simba kwa nwaka uliopita mmepigwa na hamjitambua kazaneni na hayo sio habari za Mwakalebela wewe kubishana na Mwakalebela ni sawa na mtoto wa darasa la nne kubishana na mwanafunzi wa chuo kikuu katika mambo ya Equestion
Nawaombea Mungu awajaali kupona hiyo 'trauma'mapemaYajayo yanafuraisha, kama ulijui soka la bongo utaumia sana, kuanzia jumatano tutaanza kuongea lugha nyingine kwani huu upepo unaenda kubadali muelekeo soon, mimi binafsi wala sina wasiwasi na Yanga kwani huu msimu ubingwa ni lazima
Sema kuna bahadhi ya wanayanga wana pressure bado hawajiamin lakini 100% msimu huu yanga bingwa.
Jumanne mwarabu anakuja kufix mambo pale kwa mkapa, then waarabu koko wa Sudan watamaliza kabisa ngebe za hawa jamaa ndipo atmosphere ya huu mji itarudi Kama zamani
Alafu kuna picha anaemlalamikia yupo na GSM anakula wali. Na birianiMimi ni shabiki wa Yanga kama nijulikanavyo hapa jukwaani.
Ila nimeshangaa kinoma kuona Mwakalebela akiitisha vyombo vya habari na kuanza kulalamika kuhusu kuonewa na waamuzi viwanjani, cha ajabu zaidi anasema kuwa Yanga itajitoa kwenye ligi endapo changamoto alizozisema zikiendelea. Binafsi ninaona ni ujinga wa kiwango cha juu zaiidi kwa kiongozi mkubwa kama yule wa klabu kufanya jambo kama lile la kijinga.
Ni kweli changamoto ya uamuzi imeonekana, lakini sio sababu ya Timu kushindwa kufanya vizuri mpaka uitishe vyombo vya habari na kuanza kuwalalamikia wengine kwa makosa yao wenyewe viongozi. Kushindwa kupata matokeo mazuri recently kumetokana na machaguo ya kijinga ya mwalimu na sio kwa sababu ya kunyimwa penati.
Ushamba huu iliwahi kufanywa na Haji Manara alipokuwa anaita waandishi wa habari akiwa na Flat Screen akionyesha jinsi Simba ilivyokuwa inanyimwa penati. Sasa inakuwaje kiongozi wa juu wa hadhi yake arudie kufanya ushamba wa aina hii?
Ametukera na kutuudhi wengi.
Tatizo viongozi wenu wamewaona nyie ni mazuzu!!wanatafuta pa kuangushia zigo, na nyie mmeshaingia chaka!!yaani kweli suala la waamuzi nalo ni la kuita waandishi wa habari na kuanza kulia lia?!!GUTUKENINi kweli waamuzi wanaionea sana Yanga bana, acheni ukweli usemwe.
Tunaangalia mechi za simba na pia tunaona mechi za yanga.