Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,060
- 9,468
Kwamba serikali inaamua ijichafue yenyewe?Kama anahusika asitajwe ,?? Watanzania ni vichwa maji sana ,hakuna mtu mwenye akli timamu anaweza hangaika na ripoti ya CAG , ni ripoti flan hv ya kuwafanya watanzania wawe busy kujadili