Kitendo cha Mwijaku kumshikashika miguu mke wa mtu na kuweka kwenye Facebook yake siyo maadili wengi tumeumia sana

Asee mtu wangu wa nguvu wivu unakuja mwijaku anafaidi pekee yake. Ingekuwa mimi ni yeye mwijaku nampiga mtama huyo demu baada ya hapo nakuhakikishia hatatembea tena vizuri maishani atakuwa anachechemea
Mbona ni lishangazi lililotepeta sana sema minyama imebeba shape ya nguo. Kama upepo kwenye tube. Mnawezaje kulitamani ndugu zangu? Mimi napenda English body mild blacks.
 
Una roho mbaya sana. Sisi tumemeonea wivu Mwijaku kwa kushika hiyo mali safi.
 
Hafsa collection ....jichanganye akufilisiii.....maatufu huyooo...hafugikii
 
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…