Mkuu nimesoma ile taarifa mara kumi kumi ila sijaona sehemu wamesema Mkude aende Muhimbili Kwa ajili ya kupima Akili....!
Inawezekana kwenye utetezi wake amesema alikuwa anaumwa na kapeleka vyeti za hospital za vichochoroni, kama umesoma utajua mambo kama haya wanafunzi wamefanya Sana kama visingizio vya kukwepa adhabu Kwa kupeleka vyeti vya matibabu feki
sasa ili kujiridhisha inachaguliwa hospital moja ambayo ndio inapaswa kutoa vyeti vya matibabu, ndo walichofanya Simba ni kumtaka Mkude akapime Muhimbili Kwa sababu ni hospital ya uhakika ili kujiridhisha kama ni kweli alikuwa anaumwa na kupelekea yeye kufanya makosa ambayo anahukumiwa
Tuwe makini Sana kwenye kuandika haya mambo mengine, wewe unachokifanya ndio udharirishaji wenyewe
Sent from my M2004J19C using
JamiiForums mobile app