usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
Nyie mnapesa za kumlipa au mnampotezeaTunamlipa mshahara wa kazi gani
Muda tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mnapesa za kumlipa au mnampotezeaTunamlipa mshahara wa kazi gani
Ila wakuu mkude kiboko bana dah!!..Wakiona afya ya akili haiko njema sijui watatutangazia! Huu utakuwa uzalilishaji sana.
Kama walikuwa na lengo hilo wangefanya kimya kimya tu.
Wamuondoe bila kumpiga vidole? Yule hafai kuwa Simba kwanza kipaji cha kimataifa hana, ni zezeta tu la kombe la mbuzi ama Kinesi wachezalo Yanga.Ni kweli Mkude anayo Makosa ya utovu wa nidhamu, lakini kitendo cha kumpeleka Muhimbili kumpima akili ni kumdhalilisha sana.
Kwanini wasimuondoe tu ikiwa wanadhani haendi sawa na utaratibu wa Simba?
Hivi kupima akili nalo ni udhalilishaji? Ko ulitaka waendelee kumhukumu kumbe kuna vitu vimemuathiri kiakili. Mi nafikiri mkunde asisikie ushauri wa wajinga kua ni kumdhalilisha zaidi aone faida za kujua afya yake. Itamsaidia katika maisha yake ya mpiraNi kweli Mkude anayo Makosa ya utovu wa nidhamu, lakini kitendo cha kumpeleka Muhimbili kumpima akili ni kumdhalilisha sana.
Kwanini wasimuondoe tu ikiwa wanadhani haendi sawa na utaratibu wa Simba?
Wewe umesikia wapi ? Tunajua Utopolo ndiyo mnamjaza ujinga, mchukueni tu.Ni kweli Mkude anayo Makosa ya utovu wa nidhamu, lakini kitendo cha kumpeleka Muhimbili kumpima akili ni kumdhalilisha sana.
Kwanini wasimuondoe tu ikiwa wanadhani haendi sawa na utaratibu wa Simba?
wewe unadhani anapimwa tezi dume ?Nilivyosoma hii post nikajua aloandika eitha ni mburura au ngumbalu, nilivyotazama Nani kapost nikasema, heee na huyu???
Wapi Kamati wamesema akapimwe akili..Yaani kupima afya ndo kupimwa akili..?
Kama kwenye utetezi wake ripoti inasema alikuwa anaumwa au mpaka sasa ana matatizo ya kiafya sasa huoni kuwa Kamati lazima ijiridhishe kwa taarifa yake ili kufanya maamuzi sahihi..!
Peleka mbele chuki zako zisizokuwa na mantiki huko.