Kitendo cha Simba SC kumtelekeza Fraga ni cha kinyama sana

Kitendo cha Simba SC kumtelekeza Fraga ni cha kinyama sana

Sexer

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
8,440
Reaction score
8,149
Ama kweli tenda wema nenda zako, na Fraga alitenda wema kaenda zake, na sasa anahangaika kujitibu yeye na familia yake huku club ya Simba ikiwa imemtelekeza, kwa kweli hii ndio tabia ya Wahindi kutumikisha watu ikitokea shida kwa mfanya kazi Mhindi huwa hana time tena. Pole Fraga

FB_IMG_1606977920166.jpg
 
Sidhani kama imemtelekeza Fraga alikuwa na mkataba hadi mwezi December hivyo ni wajibu wa club kumhudumia sema hawajaongeza. Mkataba
 
Sidhani kama imemtelekeza Fraga alikuwa na mkataba hadi mwezi December hivyo ni wajibu wa club kumhudumia sema hawajaongeza.mkataba
Mhindi alisema club haina pesa, watamuhudumiaje Sasa? Na mhindi anaurafiki kwenye kumzalishia mali tu ukipata shida utajijua mwenyewe.
 
Fraga alikua na mkataba wa mwaka 1.
jeraha lake kupona ingechukua msimu mzima ambapo mkataba ungekua ndio unaisha.
simba wanadai wamefikia makubaliano ya kuvunja mkataba.
CAF imetoa nafasi kwa vilabu vya klabu bingwa kusajili atleast 10+ sasa sababu ya kumtema fraga ni nini..?
 
watu wengine muwege na akili timamu mnajitia mnahuruma na upande msio upenda, mbona Tshishmbi alikuwa team capten wenu baada ya kujeruhika goti mkamuacha akarud congo huku mkimdhihaki kuwa goti lake limeoza, acha unafiki wewe ndio maana Manara amewaambia msiende kutupigia kelele kule mbaki nyumbani mlalamikie chooni uko
 
Nyani katika ubora wake, kwenye mikataba kuna vipegere vya kumia uwanjani na fidia zake, kuvunja mkataba na fidia zake koo simba ni tasisi
 
Nyani katika ubora wake, kwenye mikataba kuna vipegere vya kumia uwanjani na fidia zake, kuvunja mkataba na fidia zake koo simba ni tasisi
Nguruwe katika ubora wao wa kuterekeza mchezaji, kwa mhindi hakuna cha kipengere wala mkataba, uliza wanaofanya kazi kwa wahindi watakuambia
 
watu wengine muwege na akili timamu mnajitia mnahuruma na upande msio upenda, mbona Tshishmbi alikuwa team capten wenu baada ya kujeruhika goti mkamuacha akarud congo huku mkimdhihaki kuwa goti lake limeoza, acha unafiki wew ndo mana manara amewaambia msiende kutupigia kelele kule mbaki nyumbani mlalamikie chooni uko
Kwa hiyo mhindi Mud amecopy aliyofanyiwa Tshishimbi akapest kwa kumfanyia Fraga!!
 
Hivi GSM au Manji ni WAZARAMO...
MO anawawashaaaaaaa vyura kutwa kucha ni kujikuna tu.
 
Back
Top Bottom