rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Utopolo mnakomalia swala la Fraga wakati Mapinduzi Balama amepelekwa South Africa baada ya watu kupiga kelele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unabweka kama mbwa na kupiga kelele kama manyani mnalazimisha kuangalia mipira ya kimataifa wakati timulako liko local subiriniBila shaka na nguruwe mtaanza kumtibu fraga baada ya hizi kelele[emoji23][emoji23]
Ama kweli tenda wema nenda zako, na Fraga alitenda wema kaenda zake, na sasa anahangaika kujitibu yeye na familia yake huku club ya Simba ikiwa imemtelekeza, kwa kweli hii ndo tabia ya Wahindi kutumikisha watu ikitokea shida kwa mfanya kazi Mhindi huwa hana time tena. Pole Fraga
View attachment 1640558
Simba ni taasisiNyani katika ubora wake, kwenye mikataba kuna vipegere vya kumia uwanjani na fidia zake, kuvunja mkataba na fidia zake koo simba ni tasisi
Nasi acha tupaze sauti ili huyu raia Wa kigeni apewe haki yake kama binadamu!Utopolo mnakomalia swala la Fraga wakati Mapinduzi Balama amepelekwa South Africa baada ya watu kupiga kelele
Teh tehHivi GSM au Manji ni WAZARAMO...
MO anawawashaaaaaaa vyura kutwa kucha ni kujikuna tu.
Yanga ya wananchi we nguruwe, mikia aka mnyero fc ni ya mhindi.
We ni nguruwe zaidi ya mnyero, kwa mhindi hakuna cha taasisi wala mkataba, ndo maana mhindi alisema hicho unayoiita taasisi haina pesa bali yeye ndo ana pesa anaipa ruzuku hiyo taasisi ya nguruwe [emoji241] [emoji241]We nae ni nyani zaidi ya utopolo, mm naongelea tasisi (simba) sisemei kazi za ndani mnazo pewa na wahindi uko.
Ungekuwa unajua nn maana ya mkataba usinge toa povu kama mtoto wa STD2, ebu kajiliwe hata kibarua harafu upewe mkataba mwajili avunje makusudi uliza watu nn kinafuatia.
Wewe umefungua thread kishabiki, unaacha ya nyumbani kwako unakuja kufuatilia ya simba, hivi ulishaachaga kazi yako ile ya kubeba maboksi kwa mhindiWewe huyo GSM Ni mdhamini tu kama walivyo fly Emirates pale Real Madrid,lakini mhindi Mudy anawamiriki nyie mikia
GENTAMYCINE karibu sana ulitolee ufafanuziAma kweli tenda wema nenda zako, na Fraga alitenda wema kaenda zake, na sasa anahangaika kujitibu yeye na familia yake huku club ya Simba ikiwa imemtelekeza, kwa kweli hii ndo tabia ya Wahindi kutumikisha watu ikitokea shida kwa mfanya kazi Mhindi huwa hana time tena. Pole Fraga
View attachment 1640558
Wapi Fragrance alilalamika kutelekezwa?Ama kweli tenda wema nenda zako, na Fraga alitenda wema kaenda zake, na sasa anahangaika kujitibu yeye na familia yake huku club ya Simba ikiwa imemtelekeza, kwa kweli hii ndo tabia ya Wahindi kutumikisha watu ikitokea shida kwa mfanya kazi Mhindi huwa hana time tena. Pole Fraga
View attachment 1640558
Alikwambia lini hayo maneno kuwa hana pesa.Mhindi alisema club haina pesa, watamuhudumiaje Sasa? Na mhindi anaurafiki kwenye kumzalishia mali tu ukipata shida utajijua mwenyewe.