Kitendo cha wachezaji wa yanga kumpiga refa hakikubaliki

Kitendo cha wachezaji wa yanga kumpiga refa hakikubaliki

Katika hili nakubali kutokubaliana na wengi! Hapa kunatakiwa uchunguzi wa kina mpaka kwa refa mwenyewe! Refa profesional kwa nini upigwe? Tukumbuke sasa hivi ligi iko ukingoni kwa marefa wetu anaweza kufanya chochote ili kuubeba upande mmoja. Pia tukumbuke kuwa unapokuwa uwanjani unakuwa na munkari au mzuka hivyo pindi ukiona dalili za upendeleo chochote chaweza kutokea!! Kama refa alikuwa na agenda yake ya siri huo ndo mshahara wake nyambaf!! Itakuwa njema kama naye atafungiwa!
 
I see...umenikumbusha karibuni niliambiwa hivo...'no publicity is bad publicity'

But I am still wondering hw can this help 'Yanga'

mfano leo Monica Lewinsky akiandika kitabu kuhusu maisha yake kitauza sana,though alijulikana duniani kwa kashfa!unamkumbuka huyo dada lakini?
 
Kamanda uko...aise umepotea sana au kama kawaida yako ID kama 200...hahahah....tulindi kwenye topic....yanga mmechemka kitendo cha kumpiga refa hakikubaliki..poleni sana


Mazee I am always here! Ila kwa IDs tofauti tofauti ...sikufurahia kitendo cha Yanga kumtwanga refa, ila pia sijafurahia Kitendo cha Israel Mujuni kuwa mnazi wa Simba hataawapo uwanjani. Jamaa namjua tangia kale alikuwa akisema mechi za yangu watamtambua. Nadhani Cannavaro angeachiwa amtwange ngwala
 
Baada ya kuandamwa na balaa la kupigwa faini lukuki leo yanga wamepata ushindi wa bao 1 dhidi ya reoni, ulio wafariji mashabiki wake baada ya mcheze walita kwa kusema "sisi yanga si kama timu nyingine ata tukicheza kikosi cha pili tuna shinda" hongera yanga ila nidhamu ni muhimu.
 
Katika hili nakubali kutokubaliana na wengi! Hapa kunatakiwa uchunguzi wa kina mpaka kwa refa mwenyewe! Refa profesional kwa nini upigwe? Tukumbuke sasa hivi ligi iko ukingoni kwa marefa wetu anaweza kufanya chochote ili kuubeba upande mmoja. Pia tukumbuke kuwa unapokuwa uwanjani unakuwa na munkari au mzuka hivyo pindi ukiona dalili za upendeleo chochote chaweza kutokea!! Kama refa alikuwa na agenda yake ya siri huo ndo mshahara wake nyambaf!! Itakuwa njema kama naye atafungiwa!

refa alitakiwa aadhibiwe kwa kitendo chake cha kukimbilia nje ya uwanja kinyume na sheria za soka.refa anaruhusiwa kutoka nje wakati wa mapumziko 2.mshkaj ilshajulkana kabla ya mech kwamba kapokna mzigo
 
Duh! Umenifungua macho kumbe jamaa ni kada wa mnyama?

kosa mojawapo ni kukiliambia nje ya uwanja kinyume na sheria za soka.refa akitokanje ya uwanja muda ambao si wa mapumziko,kisheria amevunja mchezo
 
Mazee I am always here! Ila kwa IDs tofauti tofauti ...sikufurahia kitendo cha Yanga kumtwanga refa, ila pia sijafurahia Kitendo cha Israel Mujuni kuwa mnazi wa Simba hataawapo uwanjani. Jamaa namjua tangia kale alikuwa akisema mechi za yangu watamtambua. Nadhani Cannavaro angeachiwa amtwange ngwala

kabisa
 
Au waletewe huyu Refa ambaye ana kila dalili za Ushoga.........

Ukimpiga, anakurudishia kiss, hahahahaa................

 
Last edited by a moderator:
simba wanahitaji wa aina hii
[video=youtube_share;ZP1N4PWneMI]http://youtu.be/ZP1N4PWneMI[/video]
 
Back
Top Bottom