johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Bunge limemtaka AG ambaye pia ni mbunge kuchunguza kama kitendo cha mbunge wa Kigoma mjini mh Zitto kutumia nyaraka za bunge kuishtaki serikali huko benki ya dunia hakina chembe chembe za Jinai ndani yake.
Hapa nina maswali mawili:
Mosi, Jinai inachunguzwa na mwanasheria mkuu wa serikali?
Pili, kwanini Spika asiripoti tukio hilo polisi ili Zitto ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria kama watuhumiwa wengine wa uhalifu?
Binafsi nimejikuta nikitafakari kwa mapana kwamba bunge letu linapungukiwa uimara katika maeneo fulani.
Najaribu tu kutafakari kama wabunge hawajui matumizi sahihi ya karatasi zenye nembo ya bunge kama alivyofanya Zitto basi silioni kabisa kosa la alhaj Assad.
Tafakuri yangu imetokana na taarifa ya habari ya ITV
Maendeleo hayana vyama!
Hapa nina maswali mawili:
Mosi, Jinai inachunguzwa na mwanasheria mkuu wa serikali?
Pili, kwanini Spika asiripoti tukio hilo polisi ili Zitto ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria kama watuhumiwa wengine wa uhalifu?
Binafsi nimejikuta nikitafakari kwa mapana kwamba bunge letu linapungukiwa uimara katika maeneo fulani.
Najaribu tu kutafakari kama wabunge hawajui matumizi sahihi ya karatasi zenye nembo ya bunge kama alivyofanya Zitto basi silioni kabisa kosa la alhaj Assad.
Tafakuri yangu imetokana na taarifa ya habari ya ITV
Maendeleo hayana vyama!