Kitenge ana shughuli gani Marekani?


Huwa anamfata mke wake bila shaka
 
Nileteeni chidiii
Nileteeni chidiiii
Nileteeni chidiiiiiii

Wapi wazee wa remix wamwambie kuna new name in town
 
Kila wakati baada Kama wiki mbili hivi jamaa anarudi na kwenda Marekani... Ni jambo gani LA kumrudisha kila wiki?
 
bila kuiondoa CCM madarakani matatizo kama haya hayataisha….
 
Kwa upande mmoja mimi napenda kila mtu aishi kwa uhuru wake bila kufuatiliwa .

Kwa upande mwingine, mtu ukituma mipicha yako kwenye mitandao, mwenyewe unaalika maswali kuhusu maisha yako.

Habari zisizothibitishwa ni kwamba jamaa ni mkazi wa kudumu (permanent resident) wa Marekani.

Hivyo, kama hilo ni kweli, hapa swali la muhimu zaidi ni, anafanya nini Tanzania?
 
[emoji28][emoji23][emoji28][emoji23][emoji28][emoji23][emoji28][emoji23]
Umenifanya nicheke asbh huku,
Fortunately, Mimi ndio Muhindi mwenyewe sasa sooo tunaweza kuendelea kumjadili Kitenge. We have all the time in the World
😂😂😂😂😂
 
Kwani Kila Msafiri Wa Mara Kwa Mara Anahisiwa Mabaya?!!!

Hayaa Mkuu..Karibu Al Kasus Kijiweni Kwangu Kwa Mtogole!!
 
hao ndio kusema kazi na-bata wana-make pesa za miezi 6 then wanapaaa angali downtown city wanakula bata
 
Mkuu...

Nawe Umkazi Wa Kudumu Huko US toka kipindi kileeee wazazi wako wawili walipostaafu pale ikulu ya magogoni...

Hivi kwani Dar es salaam unakuja kufanya Nini?!!


Peace.
 
Yupo pale usafini kwenye kipindi cha michezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…