Kitenge, Hando na Zembwela ni kama Zidane, Luis Figo na Ronaldo de Lima. Hakuna wa kuwagusa!

Kitenge, Hando na Zembwela ni kama Zidane, Luis Figo na Ronaldo de Lima. Hakuna wa kuwagusa!

Zamani nilikuwa nasikiliza sana tuongee asubuhi startv, sijui bado ipo!
Ni wakati ule wapo akina Baruan Muhuza, Yahya Mohamed, Kamuntu.
Palikuwaga na mijadala ya moto unatoka umeshiba kichwani hasa.

Kuna siku Ndugai nusu akimbie studio live na ndio siku nilipojua maana ya neno inferiority complex.
Palikuwa na Mnyika na Job, sasa mnyika baada ya kushusha points akasema mzee wa Galilalaya ana inferiority complex, weh! yule mzee atakuwa na matatizo kichwani sio kwa kupanic kule!
 
Hakuna kitu hapa,ni makelele tu,na comedy kibao,ishu wanazoongea ni bongo fleva,maisha ya wasanii,mabinti,na kuchambua mpira,hawana uwezo wa kudadavua vitu vizito kama tofauti ya global south na global north,vita ya Sudan,isues za Libya,Ukraine,geopolitical matters,
Wenye akili kubwa wapo Kenya,
Wewe inakufaa TBC taifa au radio maria, cha ajabu hauzisikilizi.
 
Hapo Kenya tu ,hakuna wasoma magazeti wenye makelele na utoto kama hawa,eti Mende,Chumvi na Ndimu. Any way ndo reflection ya wasikilizaji wao.
Wewe si msikilizaji wa radio ila ni much know unayependa kutoa maoni kwenye kila kitu. Hiyo sehemu ya magazeti ni section ndogo sana kwenye kipindi. I bet hujawai sikiliza kipindi kizima sio mlengwa kabisa wa morning shows.
 
Mtoa mada labda ungejikita kuwapongeza wasikilizaji wapumbavu sana wanaoshabikia utangazaji mbovu uliokosa weledi wa hao watu watatu. Yale makelele wanayopiga kwenye magazeti ni ushenzi uliotukuka. Ila nawapongeza kwa kutumia fursa vizuri ya uwepo wa wingi wa wasikilizaji wapumbavu. Hata EFM nako ni ushenzi mtupu.
 
Zingekuwa ni kelele wasingekuwa wanaongoza kusikilizwa. Wanafanya soko linachotaka sio anachotaka asiyesikiliza redio.
Inategemea na aina ya watu wanaowasikiliza ni wa aima gani!!Hakuna mtu makini anayeweza kuwasikiliza hao kwani uwezo wa kuchambua mambo hawana kutokana na uelewa mdogo!!Hebu fuatilia watangazaji wengi wa tv za Kenya,utaoma umuhimu wa ELIMU kwenye nyanja husika!!!asilimia 80 ya watangazaji wa bongo ni ujanja ujanja tu,
 
Mtoa mada labda ungejikita kuwapongeza wasikilizaji wapumbavu sana wanaoshabikia utangazaji mbovu uliokosa weledi wa hao watu watatu. Yale makelele wanayopiga kwenye magazeti ni ushenzi uliotukuka. Ila nawapongeza kwa kutumia fursa vizuri ya uwepo wa wingi wa wasikilizaji wapumbavu. Hata EFM nako ni ushenzi mtupu.
Msikilizaji ni mteja na kwenye biashara hakuna mteja mpumbavu na mwelevu. Numbers ni numbers. Mwenye wasikilizaji 100 maprofesa na mwenye wasikilizaji 100,000 mabeki tatu. Mshindi kwenye biashara ni anayesikilizwa na mabeki tatu. Punguzeni ujuaji kwenye vitu msivyovielewa.
 
Inategemea na aina ya watu wanaowasikiliza ni wa aima gani!!Hakuna mtu makini anayeweza kuwasikiliza hao kwani uwezo wa kuchambua mambo hawana kutokana na uelewa mdogo!!Hebu fuatilia watangazaji wengi wa tv za Kenya,utaoma umuhimu wa ELIMU kwenye nyanja husika!!!asilimia 80 ya watangazaji wa bongo ni ujanja ujanja tu,
Nani kakwambia wanahitaji wasikilizaji makini ili radio iongeze mapato?

Hakuna unachojua unalazimisha kutoa maoni kwenye kila kitu mbaya zaidi unaamini mawazo yako yanatakiwa yazingatiwe. Bure kabisa!
 
Eti uchambuzi...
Hao wapiga kelele tu...
Umbea,udaku

Ova
Hio ni radio business. Watu wanaweka pesa ndefu kuchukua hao wapiga kelele.

Ni mambo ambayo msela mavi huwezi yaelewa.
 
Msikilizaji ni mteja na kwenye biashara hakuna mteja mpumbavu na mwelevu. Numbers ni numbers. Mwenye wasikilizaji 100 maprofesa na mwenye wasikilizaji 100,000 mabeki tatu. Mshindi kwenye biashara ni anayesikilizwa na mabeki tatu. Punguzeni ujuaji kwenye vitu msivyovielewa.
Wewe chawa unajionaga una akili kumbe pumbavu. Mimi nimewapongeza kwa kuona fursa ya uwepo wa wasikilizaji wengi wapumbavu halafu wewe unadai ni ujuaji? Wasikilizaji wapumbavu wapo na werevu wapo. Kwa mfano wateja wa Mange Kimambi unaweza kuwaweka kwenye kundi la werevu? Hata wewe chawa ushawahi kusikiliza BBC Radio au kusoma magazeti ya Daily News, the Guardian?
 
Hamna lolote hao,sema tu hapa Bongo wengi ni vilaza. Nchi zilizoendelea hawa wasingekuwa na waangaliaji kabisa.
Waangaliaji wangekuwepo sema kpind ndio kingekuwa na jna tofauti km ucheshi na bdo wangekosolewa kuwa hawajui kuchekesha
 
Wewe chawa unajionaga una akili kumbe pumbavu. Mimi nimewapongeza kwa kuona fursa ya uwepo wa wasikilizaji wengi wapumbavu halafu wewe unadai ni ujuaji? Wasikilizaji wapumbavu wapo na werevu wapo. Kwa mfano wateja wa Mange Kimambi unaweza kuwaweka kwenye kundi la werevu? Hata wewe chawa ushawahi kusikiliza BBC Radio au kusoma magazeti ya Daily News, the Guardian?
Nikisikikiza BBC au nikisoma the guardian na nikaongeza hela kwenye account zangu basi nitaanza kufanya hivyo otherwise kitu kisichonipa riziki kwangu ni ufala tu umesikia wewe mlamba miguu ya wanasiasa
 
Kwani wapi nimeandika kua nawasikiliza kijana??
Yaani mwenye akili timamu akae asikilize utumbo wa hao wazee. Wanasikilizwa na vilaza tu.
Kama uwasikilizi umejuaje kuwa wana kelele?
Una ugonjwa wa kuchukia watu haswa waliopiga hatua. Unateseka sana bidada.
 
Nikisikikiza BBC au nikisoma the guardian na nikaongeza hela kwenye account zangu basi nitaanza kufanya hivyo otherwise kitu kisichonipa riziki kwangu ni ufala tu umesikia wewe mlamba miguu ya wanasiasa
Siku hizi wapumbavu wengi mnatumia hela kama kichaka cha kuficha ujinga wenu. Kila kitu mtu anakimbilia kusema "natafuta hela"
 
Nikisikikiza BBC au nikisoma the guardian na nikaongeza hela kwenye account zangu basi nitaanza kufanya hivyo otherwise kitu kisichonipa riziki kwangu ni ufala tu umesikia wewe mlamba miguu ya wanasiasa
Uwezo wako wakufikiri na kupambanua mambo ni mdogo sana,hua unaanzisha thd ila huna uwezo wa kuzisimamia,unaazisha kama chawa tu,

Kwani kuna magazeti gani au Radio gani ukisoma/ukisikiliza huongeza hela kwenye account direct?

Kusoma magazeti, kusikiliza Radio au kuangalia tv inakua ni kuongeza maarifa au burudani,hayo maarifa ndio unaweza kuyatumia na kutengeneza hela,kwani wanaoangalia Mpira au movies au hata kusikiliza music hua wanaingiza hela direct kwenye account zao?

Yani Wasafi iwe bora kuliko BBC?
 
Back
Top Bottom