Wewe inakufaa TBC taifa au radio maria, cha ajabu hauzisikilizi.Hakuna kitu hapa,ni makelele tu,na comedy kibao,ishu wanazoongea ni bongo fleva,maisha ya wasanii,mabinti,na kuchambua mpira,hawana uwezo wa kudadavua vitu vizito kama tofauti ya global south na global north,vita ya Sudan,isues za Libya,Ukraine,geopolitical matters,
Wenye akili kubwa wapo Kenya,
Wewe si msikilizaji wa radio ila ni much know unayependa kutoa maoni kwenye kila kitu. Hiyo sehemu ya magazeti ni section ndogo sana kwenye kipindi. I bet hujawai sikiliza kipindi kizima sio mlengwa kabisa wa morning shows.Hapo Kenya tu ,hakuna wasoma magazeti wenye makelele na utoto kama hawa,eti Mende,Chumvi na Ndimu. Any way ndo reflection ya wasikilizaji wao.
Imependeza kweli very very niiiiiiiiiiiiceCheck mtangazaji anavyo agwa na kituo chake,bongo kuhama kituo kimoja kwenda kingine,ni kama uchawi vile na vita,mambo hovyo hovyo
Inategemea na aina ya watu wanaowasikiliza ni wa aima gani!!Hakuna mtu makini anayeweza kuwasikiliza hao kwani uwezo wa kuchambua mambo hawana kutokana na uelewa mdogo!!Hebu fuatilia watangazaji wengi wa tv za Kenya,utaoma umuhimu wa ELIMU kwenye nyanja husika!!!asilimia 80 ya watangazaji wa bongo ni ujanja ujanja tu,Zingekuwa ni kelele wasingekuwa wanaongoza kusikilizwa. Wanafanya soko linachotaka sio anachotaka asiyesikiliza redio.
Msikilizaji ni mteja na kwenye biashara hakuna mteja mpumbavu na mwelevu. Numbers ni numbers. Mwenye wasikilizaji 100 maprofesa na mwenye wasikilizaji 100,000 mabeki tatu. Mshindi kwenye biashara ni anayesikilizwa na mabeki tatu. Punguzeni ujuaji kwenye vitu msivyovielewa.Mtoa mada labda ungejikita kuwapongeza wasikilizaji wapumbavu sana wanaoshabikia utangazaji mbovu uliokosa weledi wa hao watu watatu. Yale makelele wanayopiga kwenye magazeti ni ushenzi uliotukuka. Ila nawapongeza kwa kutumia fursa vizuri ya uwepo wa wingi wa wasikilizaji wapumbavu. Hata EFM nako ni ushenzi mtupu.
Nani kakwambia wanahitaji wasikilizaji makini ili radio iongeze mapato?Inategemea na aina ya watu wanaowasikiliza ni wa aima gani!!Hakuna mtu makini anayeweza kuwasikiliza hao kwani uwezo wa kuchambua mambo hawana kutokana na uelewa mdogo!!Hebu fuatilia watangazaji wengi wa tv za Kenya,utaoma umuhimu wa ELIMU kwenye nyanja husika!!!asilimia 80 ya watangazaji wa bongo ni ujanja ujanja tu,
Hio ni radio business. Watu wanaweka pesa ndefu kuchukua hao wapiga kelele.Eti uchambuzi...
Hao wapiga kelele tu...
Umbea,udaku
Ova
Wewe chawa unajionaga una akili kumbe pumbavu. Mimi nimewapongeza kwa kuona fursa ya uwepo wa wasikilizaji wengi wapumbavu halafu wewe unadai ni ujuaji? Wasikilizaji wapumbavu wapo na werevu wapo. Kwa mfano wateja wa Mange Kimambi unaweza kuwaweka kwenye kundi la werevu? Hata wewe chawa ushawahi kusikiliza BBC Radio au kusoma magazeti ya Daily News, the Guardian?Msikilizaji ni mteja na kwenye biashara hakuna mteja mpumbavu na mwelevu. Numbers ni numbers. Mwenye wasikilizaji 100 maprofesa na mwenye wasikilizaji 100,000 mabeki tatu. Mshindi kwenye biashara ni anayesikilizwa na mabeki tatu. Punguzeni ujuaji kwenye vitu msivyovielewa.
Ukitaka usisikie kelele nenda TBC 1 ila kwa hizi media za burudani tegemea kuliona Hili maana wanafanya kulingana na soko linavyotakaWapiga kelele tu hao.
🤣🤣🤣🤣🤣Hujalazimishwa uwakubali, kama wameajiriwa na wanakula kwa hizo kelele nashauri waongeze VOLUME😂😂😂
Waangaliaji wangekuwepo sema kpind ndio kingekuwa na jna tofauti km ucheshi na bdo wangekosolewa kuwa hawajui kuchekeshaHamna lolote hao,sema tu hapa Bongo wengi ni vilaza. Nchi zilizoendelea hawa wasingekuwa na waangaliaji kabisa.
Kwani wapi nimeandika kua nawasikiliza kijana??Ukitaka usisikie kelele nenda TBC 1 ila kwa hizi media za burudani tegemea kuliona Hili maana wanafanya kulingana na soko linavyotaka
Nikisikikiza BBC au nikisoma the guardian na nikaongeza hela kwenye account zangu basi nitaanza kufanya hivyo otherwise kitu kisichonipa riziki kwangu ni ufala tu umesikia wewe mlamba miguu ya wanasiasaWewe chawa unajionaga una akili kumbe pumbavu. Mimi nimewapongeza kwa kuona fursa ya uwepo wa wasikilizaji wengi wapumbavu halafu wewe unadai ni ujuaji? Wasikilizaji wapumbavu wapo na werevu wapo. Kwa mfano wateja wa Mange Kimambi unaweza kuwaweka kwenye kundi la werevu? Hata wewe chawa ushawahi kusikiliza BBC Radio au kusoma magazeti ya Daily News, the Guardian?
Kama uwasikilizi umejuaje kuwa wana kelele?Kwani wapi nimeandika kua nawasikiliza kijana??
Yaani mwenye akili timamu akae asikilize utumbo wa hao wazee. Wanasikilizwa na vilaza tu.
Siku hizi wapumbavu wengi mnatumia hela kama kichaka cha kuficha ujinga wenu. Kila kitu mtu anakimbilia kusema "natafuta hela"Nikisikikiza BBC au nikisoma the guardian na nikaongeza hela kwenye account zangu basi nitaanza kufanya hivyo otherwise kitu kisichonipa riziki kwangu ni ufala tu umesikia wewe mlamba miguu ya wanasiasa
Uwezo wako wakufikiri na kupambanua mambo ni mdogo sana,hua unaanzisha thd ila huna uwezo wa kuzisimamia,unaazisha kama chawa tu,Nikisikikiza BBC au nikisoma the guardian na nikaongeza hela kwenye account zangu basi nitaanza kufanya hivyo otherwise kitu kisichonipa riziki kwangu ni ufala tu umesikia wewe mlamba miguu ya wanasiasa