johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mchambuzi nguli wa Magazeti Maulid Kitenge amesema katika fyekafyeka ya Mawaziri bado Mmoja
Kitenge ameuliza: Ni nani huyo?
Source: Wasafi media
Mlale Unono 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui kilio cha jirani ni furaha kwa mwingine ...welcome to africa broHivi watu wakitenguliwa huwa personally wengine hupata faida gani?
1+1= puuzeni
Hivi watu wakitenguliwa huwa personally wengine hupata faida gani?
🤣🤣🤣🤣Mchambuzi nguli wa Magazeti Maulid Kitenge amesema katika fyekafyeka ya Mawaziri bado Mmoja
Kitenge ameuliza: Ni nani huyo?
Source: Wasafi media
Mlale Unono 😀
Rais wa maweMchambuzi nguli wa Magazeti Maulid Kitenge amesema katika fyekafyeka ya Mawaziri bado Mmoja
Kitenge ameuliza: Ni nani huyo?
Source: Wasafi media
Mlale Unono 😀
🤣🤣🤣🤣
Hivi Maulid naye ni Mchambuzi au ni Mpayukaji tu?
Ni ujinga tu sababu, baada ya muda watarudiHujui kilio cha jirani ni furaha kwa mwingine ...welcome to africa bro
Wewe kama mlipa Kodi alafu kuna watu incompetent wanaendelea kula kodi zako bila value for money alafu unashangilia huenda hujui katika hii scenario boss na mtumishi ni nani...Hivi watu wakitenguliwa huwa personally wengine hupata faida gani?
Wajinga hawa vijanaunemployement tanzania ni >85% , sasa unaweza imagine watu wanafanya nini wakiamka asubuhi mpaka jioni?
Ila sawa tu unakumbuka hata huyo kafurahia bahari kutulia?Hujui kilio cha jirani ni furaha kwa mwingine ...welcome to africa bro