Pre GE2025 Kitenge: Katika fyekafyeka ya Mawaziri bado Mmoja, Ni nani huyo?

Pre GE2025 Kitenge: Katika fyekafyeka ya Mawaziri bado Mmoja, Ni nani huyo?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe kama mlipa Kodi alafu kuna watu incompetent wanaendelea kula kodi zako bila value for money alafu unashangilia huenda hujui katika hii scenario boss na mtumishi ni nani...
Hoja yangu ni kuwa baada ya muda wote hurudi, sasa hiyo shangilia Ina maana gani?
 
Baraza zima ni la kuvunjwa na huyo mama Abdul apishe.

Hilo baraza uchwara ndio limebariki uuzaji wa bandari na mbuga za wanyama.
 
Hoja yangu ni kuwa baada ya muda wote hurudi, sasa hiyo shangilia Ina maana gani?
Naam ni mwendelezo wa maigizo na huyo aliyetumbuliwa na pensheni yake na pesa alizoiba huenda ni better off na anakipato guaranteed kuliko kaya kumi za common mwananchi na kuondoa hawa vidagaa mara nyingi ni danganya toto wakati mapapa wanaendelea kutafutafuna nchi...

Binafsi am just an observer I have long stopped believing in any kind of politician and what I call for is Strong Institutions, Total Transparency which will bring Uwajibikaji (zaidi ya hapo ni kuendelea kuchezeshwa kwa tunes wanazotaka walamba asali)
 
Naam ni mwendelezo wa maigizo na huyo aliyetumbuliwa na pensheni yake na pesa alizoiba huenda ni better off na anakipato guaranteed kuliko kaya kumi za common mwananchi na kuondoa hawa vidagaa mara nyingi ni danganya toto wakati mapapa wanaendelea kutafutafuna nchi...

Binafsi am just an observer I have long stopped believing in any kind of politician and what I call for is Strong Institutions, Total Transparency which will bring Uwajibikaji (zaidi ya hapo ni kuendelea kuchezeshwa kwa tunes wanazotaka walamba asali)
Lengo langu halikua kusema ni maigizo, bali ni kupumzishwa kwa muda mtu ajitafakari alipokosea na kurudishwa tena
 
Back
Top Bottom