Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
- Thread starter
- #21
Kwamba inonga alohongwa na wananchi??Haya ni ukweli mtupu iwapo Inonga atakuwa sehemu ya kikosi.
Inonga alishalipwa na upande wa pili ili aiumize timu na anampango kazi wa kutekeleza hayo.
Kama hawawezi kuwaamini vijana wengine basi huu ndio mwisho.