Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya miaka 27 ndiyo unacheza makundi, ndiyo unapata point 2,Halafu unakuja humu kutupigia kelele za kindezi.Yanga tungekua kwenye kundi la simba sahivi tungekua na point 9,
Mkinuna natuma goli la wydad.
Hahahaaaaa..... Ndezi kweli kweli.Kiukweli kwa upande wa Simba goli lilikuwa halionekani litatokea wapi, ilikuwa ni kujikanyaga kanyaga tu huko mbele!
Tumenuna, lakini tunaomba usitume.Yanga tungekua kwenye kundi la simba sahivi tungekua na point 9,
Mkinuna natuma goli la wydad.
"mihadarati ya ukubwani inafanya usichunge ulimi" Fid QYanga tungekua kwenye kundi la simba sahivi tungekua na point 9,
Mkinuna natuma goli la wydad.
Mpaka wanaenda kuomba point za mezani na kutaka sheria ya offside ifutwe hawa mataahiraMbna huko kwenye Medeama mmeshindwa sasa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Profession [emoji736]Hyo ni professional yake
Si kweli mkuuKitenge ni adui namba moja wa Simba Sports Club View attachment 2841432