DOKEZO Kitengo cha kupata Control Number - TRA Ofisi Kuu Mwanza kinanuka rushwa, kichunguzwe

DOKEZO Kitengo cha kupata Control Number - TRA Ofisi Kuu Mwanza kinanuka rushwa, kichunguzwe

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Tunapitia wakati mgumu sana tunaofika Kitengo cha TRA Ofisi Kuu Mwanza ili kupata Control Number za kulipia Capital Gain Tax.

Kufanya Uhamisho wa viwanja Sheria imebadilishwa, ni Asilimia 3 sasa, hivyo kukupa Control Number wanataka rushwa na hawakupi bila kufanya hivyo.

Naomba kitengo hicho kimulikwe kinakosesha Serikali mapato, kuna jamaa anadaiwa rushwa ya miloni 6 ili apewe Control Number.

Pia kuna mtu anaitwa Fortu anasumbua sana anasema rushwa inaanzia kwa mabosi wake, Serikali itusaidie kwani kazi za watu haziendi huku.
 
TRA ni ya kumulikwa upya mapato mengi ya serikali yanashindikana kukusanywa kwasababu ya kuendekeza rushwa. Adhabu ya kupokea au kutoa rushwa iwe ni kunyongwa. Nchi inakopa kwa speed kubwa kwa kuwa kuna watanzania wasiokuwa wazalendo wameamua kushirikiana na wafanyabiashara wasio waadilifu kuikosesha nchi mapato. Hii kitu huwa inaniumiza sana, sana yaani ningepewa madaraka ya kushughulikia watu wa TRA na wengine wanaopokea rushwa ili kutokukusanya kodi ningewachoma sindano ya sumu wafe!!!
 
Inasikitisha sana kwakweli, huduma ni haki ya mteja, hizi rushwa hizi zinakwamisha sana maendeleo.
 
Ukitaja TRA moja kwa moja umezungumzia rushwa ni kama Polisi tu ndio maana wana chaka lao la kuficha madhambi la kutangaza makusanyo na kusema wamezidi Target wanazidi vipi Target Nchi yenyewe masikini hii na walipa kodi ni wachache..
Rushwa zingine za polisi kama zimebarikiwa na serikali,yan ukiingia tu mikononi mwa polisi hata ukiwa hauna kosa basi kutoka na hela,ile kitu imeongeza polisi wawe wanabambikia watu kesi maana ukiwa hauna pesa wanaona bora wakupe kesi tu kuliko kukuachia bure
 
Tunakushukuru kwa taarifa hii na tunaomba wahusika wote watupe ushirikiano ili tuchukue hatua kwa sababu huu sio utaratibu wa sisi TRA kutaka watu wateseke au kulipa kodi nje ya utaratibu wa kutumia control number.

Kwa mawasiliano zaidi tupigie simu bure 0800110016 au 0800780078 au tuma barua pepe kwenda huduma@tra.go.tz au fika kwa meneja wetu wa TRA Mkoa wa Mwanza ili aweze kutatua changamoto hii.
 
Wote ndio walewale mnazingua sana
Tunakushukuru kwa taarifa hii na tunaomba wahusika wote watupe ushirikiano ili tuchukue hatua kwa sababu huu sio utaratibu wa sisi TRA kutaka watu wateseke au kulipa kodi nje ya utaratibu wa kutumia control number.

Kwa mawasiliano zaidi tupigie simu bure 0800110016 au fika kwa meneja wetu wa TRA Mkoa wa Mwanza ili aweze kutatua changamoto hii.

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
 
Ukitaja TRA moja kwa moja umezungumzia rushwa ni kama Polisi tu ndio maana wana chaka lao la kuficha madhambi la kutangaza makusanyo na kusema wamezidi Target wanazidi vipi Target Nchi yenyewe masikini hii na walipa kodi ni wachache..
Kiwanda cha rushwa hapo

Wanaishi kwa pesa za rushwa hao

Ova
 
Tunakushukuru kwa taarifa hii na tunaomba wahusika wote watupe ushirikiano ili tuchukue hatua kwa sababu huu sio utaratibu wa sisi TRA kutaka watu wateseke au kulipa kodi nje ya utaratibu wa kutumia control number.

Kwa mawasiliano zaidi tupigie simu bure 0800110016 au 0800780078 au tuma barua pepe kwenda huduma@tra.go.tz au fika kwa meneja wetu wa TRA Mkoa wa Mwanza ili aweze kutatua changamoto hii.
Kwanza niwapongeze TRA kwa kujitokeza na kuomba ushirikiano. Naamini hao wachache waliofanya hivo wanawachafulia sana. Ila pia niwaombe wenzangu hasa muhusika wa mkasa huu wape ushirikiano ili wabainike hao.
 
Tunapitia wakati mgumu sana tunaofika Kitengo cha TRA Ofisi Kuu Mwanza ili kupata Control Number za kulipia Capital Gain Tax.

Kufanya Uhamisho wa viwanja Sheria imebadilishwa, ni Asilimia 3 sasa, hivyo kukupa Control Number wanataka rushwa na hawakupi bila kufanya hivyo.

Naomba kitengo hicho kimulikwe kinakosesha Serikali mapato, kuna jamaa anadaiwa rushwa ya miloni 6 ili apewe Control Number.

Pia kuna mtu anaitwa Fortu anasumbua sana anasema rushwa inaanzia kwa mabosi wake, Serikali itusaidie kwani kazi za watu haziendi huku.
Mkuu nadhani ingekuwa pia bora ufike kwa kiongozi wake ili amchukulie hatua wakati mwingine unakuta hata kiongozi wake hajui na inawezekana pia akasingizia kiongozi wake. Wewe ungefika kwa kiongozi wake uone nini kingetokea sidhani kama kiongozi wake angemuacha. Lakini kama haitoshi wape jamaa wa Takukuru kazi yao hiyo wangemaliza mara moja tu na hata tra ndani kuna kakitengo kao flani wanasemaga sijui mambo ya maadili kama mtumishi wao hana waeleze ngoja nitafute namba zao kanawachunguzaga ungewapa kazi tu hiyo
 
Back
Top Bottom