Je kama Mtoto kasema amebakwa na Baba yake?Acheni ufala? Huyo mtoto baba yake mnafunga mnaacha mwanae na mtoto atakayezaliwa uraiani je watalelewa na nani?
Utuachie sisi pekeetu hapna 😂😂😂Dunia simama nishuke kituo cha mbele
Hili swala linasumbua sana hata Nchi zilizoendelea, Baba na mwana,Mama na Mwana,Kaka na Dada, tena sio kubakana, kwa hiyari.
HahahahahaUtuachie sisi pekeetu hapna 😂😂😂
Hamnaga hayo mambo kule labda utake mwenyeweNyapara akamshughulikie huyu mbuzi
Kichwa cha uzi kinasemaje?Je kama Mtoto kasema amebakwa na Baba yake?
[emoji63][emoji63][emoji63]Mzee kaamua ale bao lake
Ahukumiwe kunyongwa?,watu mnapenda kuhukumu wenzenu nyie dah!!.Hamnaga hayo mambo kule labda utake mwenyewe
Huyu angetakiwa ahukumiwe kunyongwa
👍Kichwa cha uzi kinasemaje?
Kwahiyo angenyongwa tu? Kwasababu ukimwachia ataendelea kuzaa na binti yake. Kama kuku!Kumweka jela huyo kumeongeza matatizo katika hiyo familia.