Na choo kiwe kisafi pia, kama ume kaa unatazamana na tiles za cream lakini zilipaswa kuwa nyeupe au ule ukungu wa fungus kando ya sink wala haipendezi.Alafu raha ya hicho kiti uwe umebanwaaa alafu ndo uingie ukikalie kwa raha zako unatamani uendekee kukaa tuu huko usitoke
Raha ya choo ni cha shimo hata daktari akikuuliza rangi ya choo ukichopata huna jibu kwani hukukiona.Hiko choo cha kukaa kilikuwa chuo, aisee hata kuingia nilikuwa siingii maana sivipendi kwa kwel hata nikiwa na kwangu siwezi weka hiyo kitu asilani, ingawaje kinasaidia kama utapata madhara kama kuvunjika mguu na kutoweza kuchuchumaa,ila raha ya kukata gogo,uchuchumae sio ukae
Afadhali ninyi. Sisi tunaenda na jembe porini/vichakani.Sawa mkuu huku Koromije bado tunapambana na vya shimo.
Tunapenda kuviita voda fasta. [emoji23]