evonik
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 3,996
- 5,156
Hiko choo cha kukaa kilikuwa chuo, aisee hata kuingia nilikuwa siingii maana sivipendi kwa kwel hata nikiwa na kwangu siwezi weka hiyo kitu asilani, ingawaje kinasaidia kama utapata madhara kama kuvunjika mguu na kutoweza kuchuchumaa,ila raha ya kukata gogo,uchuchumae sio ukae