Kiti cha Kikwete na miujiza yake


jamiiforums imejaa watu ambao hawachambui hoja bali ni kukurupuka tu,kumbuka yule ni Rais wa nchi na si mwenyekiti wa serikali za mitaaa,hivyo anao utaratibu wake duniani kote hakuna rais anayekalia kalia viti hovyo,kumbuka kwa kiongozi yeote ata awe mzuri vipi,namaanisha kiutendaji lakini hawezi kukosa wabaya wake,,,,ebu kueni ma akili na mjadili mambo ya maendeleo
 
Vipi sasa kuhusu baba Ritz? Naye ni maelekezo ya Dr?
 
Last edited by a moderator:

Utamsalmia mangimeza mkuu!
 

Sikumbuki kuwa amekiacha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…