Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
Nimeota Kikwete kaokoka na amekivunja kiti chake, kikaaza kutiririsha damu. Ndoto ilikuwa ya kutisha sana
makubwa haya, tena yanatisha.
you mean utawala wake utasababisha kumwagika damu? au mgawanyiko wa serikali yake uta -una - sababisha vifo, mauaji? Be afraid!
asante kwa tafsiri