Kiti cha Kikwete na miujiza yake

Kiti cha Kikwete na miujiza yake

Raisi lazima ajizindike kwa sharti lolote lile, hatuwez kuwa na Raisi mweupe tutakuwa tunafanya uchaguzi kila mwezi. Hata hao walio tangulia walikuwa na masharti yao.
 
Halafu nasikia kina gari spesho la kukibeba

Na ofisa maalum wa kukisindikiza......with per diems of course

0314-entretien-Kikwete.jpg


President-Jakaya-Kikwete2-300x214.jpg


Kikwete.jpg
 
Jamani kwa kiswahili tunaamini KILA KOBE NA GAMBA LAKE!!!! Labda kwa Mh naye kiti hiki ni HAWEZI KUACHANA NACHO kama kobe na gamba🙂
 
shauri ya imani mbovu mbovu hizo,
hata maji aliyokuwa anakunywa siku anaongea na wazee wa bongo
yalikuwa siyo maji ya kawaida.
 
shauri ya imani mbovu mbovu hizo,
hata maji aliyokuwa anakunywa siku anaongea na wazee wa bongo
yalikuwa siyo maji ya kawaida.

how did you know that the drink he took on that day wasn't the regular H2O we normally use?
 
shauri ya imani mbovu mbovu hizo,
hata maji aliyokuwa anakunywa siku anaongea na wazee wa bongo
yalikuwa siyo maji ya kawaida.

mi nikadhani anapiga kiroba cha konyagi amechanya na fanta pineapple, kumbe alikuwa anakunywa supu ya pweza!!
 
how did you know that the drink he took on that day wasn't the regular H2O we normally use?

maji gani yako calored?

Mkuu Wilbald, yale maji kwa muonekano tu yalikua yako coloured! Na moja ya properties za maji ni kuwa colourless, sasa kwa kuzingatia hilo, ni sahihi kutoa conclusion​ ya kwamba yale maji yalikua siyo ya kawaida.
 
Mkuu Wilbald, yale maji kwa muonekano tu yalikua yako coloured! Na moja ya properties za maji ni kuwa colourless, sasa kwa kuzingatia hilo, ni sahihi kutoa conclusion​ ya kwamba yale maji yalikua siyo ya kawaida.

niliyaona yale maji lakini sikutaka kuuliza ningeonekana ..........................
 
mi nikadhani anapiga kiroba cha konyagi amechanya na fanta pineapple, kumbe alikuwa anakunywa supu ya pweza!!

kumbe watu mko very smart kuangalia habari picha! Mimi nilidhani ile glass ilikuwa na togwa ya ndizi, kwetu tunaita "omuramba".
 
watu wanaelewa kwamba yale siyo maji ya kawaida,
au ni glucose au ni kauji kembamba,
ni lazima ana mambo ambayo siyo ya kawaida.
 
watu wanaelewa kwamba yale siyo maji ya kawaida,
au ni glucose au ni kauji kembamba,
ni lazima ana mambo ambayo siyo ya kawaida.

inawezekana ni konyagi ice zimerudi tena nini? au rose H2O?
 
Mkuu sikia kwa wanaofuatilia kila kittu mkuu ni kweli kile kiti hata akiwa Mbeya anacho tuu unabisha anza leo kuchunguza

Hata akifanya geographic expeditions uwa anakibeba?!! Mkuu umeelewa swali langu?!
 
mkuu wilbald, yale maji kwa muonekano tu yalikua yako coloured! Na moja ya properties za maji ni kuwa colourless, sasa kwa kuzingatia hilo, ni sahihi kutoa conclusion​ ya kwamba yale maji yalikua siyo ya kawaida.

eeeh! Itakuwa rose water basi.
 
Nyerere, Mwinyi na Mkapa walikuwa hawasafiri na viti.
Niliwahi kudhani kuwa ni viti vinavyofanana, lakini katika katika mikutano fulani , Mbagala, Diamond Jubilei, Mwanza, Arusha na Iringa ndiyo nilihakikisha kuwa ni kiti kiti kile kile husafirishwa popote aendapo ndani ya nchini lakini si katika mikutano na marais wenzake.

AFRICA TUMEBOBEA KWENYE USHIRIKINA :bange:
 
Ni utara ibu wa rais kutumia viti vya ikulu hata mkapa and many presidents do tha same
kama obama atatembea na gari yake everywhere kiti ni minor thngs
just security isues

Ninayo mashaka tele kutoka kwenye maelezo yako kwamba ni kitu cha kawaida kutembea na kiti kama obama atembeavyo na gari yake popote pale.

Watu wake Rais hupaswa kubeba ile STATE SEAL, nembo ya Ikulu SIYO KUZUNGUKA NA KITI KAMA MJOMBA afanyavyo (kama kweli anazunguka na kiti hicho)
 
Back
Top Bottom