Kitila ampinga Muhongo kuhusu Tanzania kushuka Uchumi wa Kati

Kitila ampinga Muhongo kuhusu Tanzania kushuka Uchumi wa Kati

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Mbunge wa Ubungo (CCM), Profesa Kitila Mkumbo ameitaka Serikali kutolea ufafanuzi kuhusu Tanzania iko katika daraja gani la uchumi duniani ili kuondoa sintofahamu iliyopo.

Akichangia jana kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo pamoja na Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka 2023/24, Mbunge wa Musumo Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo alisema Tanzania haiko tena katika uchumi waka kati.

Hata hivyo, akichangia leo Profesa Kitila amesema miongoni mwa mafanikio iliyoipata Tanzania ni kufikia uchumi wa kati mwaka 2021.

“Ni muhimu mheshimiwa waziri akalitolea ufafanuzi baadaye, tunasikia takwimu nyingine zinasema tumeshuka ni muhimu Serikali ikaliweka jambo hili vizuri. Si jambo la kupita hivi hivi leo,”amesema.

Amesema kwa mujibu wa taarifa za Benki ya Dunia (WB), za mwaka 2021 nchi yetu ilikadiriwa kuwa na pato Tanzania lilikuwa ni Dola za Marekani Bilioni 67.78 na sio Dola za Marekani Bilioni 62.

Amesema ukifanya hesabu kwa idadi ya watu wa sasa inawapa kuwa pato la Mtanzania ni ni Dola za Marekani 1133.5 kwa mwaka na hivyo kuonyesha kuwa imepanda kidogo ukilinganisha mwaka 2020.

“Hoja kwamba tumeshuka haiwezi kuwa ni kweli. Ni muhimu tukalinda mafanikio yetu kwa wivu mkubwa sana. Ningeomba mheshimiwa Waziri atakapohitimisha, atolee hoja nzinto ya kueleweka ili nchi isibabaike kama uchumi umeshuka ama uko pale,”amesema.

Aidha, amesema suala la kupambana na umasikini ni muhimu lakini kwenye mpango haionyeshi mikakati ya mahususi ya kupambana na umasikini.

“Ni muhimu mpango wa maendeleo uoneshe jitihada za kushughulikia umasikini bayana. Hata neno umasikini limetajwa mara moja (kwenye mpango) tena kwenye Tasaf (Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini),”amesema.

Ameishauri wataalam wawapelekee mikakati ya kupunguza umasikini nchini katika mpango wa maendeleo. Profesa Kitila amesema kumekuwa na ongezeko kubwa la watu katika sensa ya mwaka 2022 kuliko sensa zilizopita ambazo ongezeko la watu lilikuwa ni chini ya asilimia 3.2.

Amesema mpango huo unatakiwa uwekeze katika kupunguza umasikin, chakula cha kutosha lakini bahati mbaya kila kitu hakitoshi.

“Maana yake turejee katika miaka ya 1970, 1980, tuanze kuzungumzia suala la uzazi wa mpango halikwepweki lazima lifanyike,”amesema.

Ameshauri Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) kuongezewa kazi ya kusimamia uzazi wa mpango.

MWANANCHI
 
Mbunge wa Ubungo (CCM), Profesa Kitila Mkumbo ameitaka Serikali kutolea ufafanuzi kuhusu Tanzania iko katika daraja gani la uchumi duniani ili kuondoa sintofahamu iliyopo.



Ameshauri Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) kuongezewa kazi ya kusimamia uzazi wa mpango.

MWANANCHI
Kwani wewe uchumi wa Kati unauona?
 
Muhongo alisema Tanzania haiko tena katika uchumi waka kati.
Huu ndio ukweli kwa wale waliosoma majarida mbalimbali!
hata wakati mwendazake anatangaza haya haikuwa kweli!
Kitila hawezi kutumia taaluma yake kusema kweli kwani ktk kile chama hutakiwi kufanya hivyo badala yake unatakiwa kuimba "mapambio" tu
 
Mbunge wa Ubungo (CCM), Profesa Kitila Mkumbo ameitaka Serikali kutolea ufafanuzi kuhusu Tanzania iko katika daraja gani la uchumi duniani ili kuondoa sintofahamu iliyopo.

Akichangia jana kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo pamoja na Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka 2023/24, Mbunge wa Musumo Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo alisema Tanzania haiko tena katika uchumi waka kati.

Hata hivyo, akichangia leo Profesa Kitila amesema miongoni mwa mafanikio iliyoipata Tanzania ni kufikia uchumi wa kati mwaka 2021.

“Ni muhimu mheshimiwa waziri akalitolea ufafanuzi baadaye, tunasikia takwimu nyingine zinasema tumeshuka ni muhimu Serikali ikaliweka jambo hili vizuri. Si jambo la kupita hivi hivi leo,”amesema.

Amesema kwa mujibu wa taarifa za Benki ya Dunia (WB), za mwaka 2021 nchi yetu ilikadiriwa kuwa na pato Tanzania lilikuwa ni Dola za Marekani Bilioni 67.78 na sio Dola za Marekani Bilioni 62.

Amesema ukifanya hesabu kwa idadi ya watu wa sasa inawapa kuwa pato la Mtanzania ni ni Dola za Marekani 1133.5 kwa mwaka na hivyo kuonyesha kuwa imepanda kidogo ukilinganisha mwaka 2020.

“Hoja kwamba tumeshuka haiwezi kuwa ni kweli. Ni muhimu tukalinda mafanikio yetu kwa wivu mkubwa sana. Ningeomba mheshimiwa Waziri atakapohitimisha, atolee hoja nzinto ya kueleweka ili nchi isibabaike kama uchumi umeshuka ama uko pale,”amesema.

Aidha, amesema suala la kupambana na umasikini ni muhimu lakini kwenye mpango haionyeshi mikakati ya mahususi ya kupambana na umasikini.

“Ni muhimu mpango wa maendeleo uoneshe jitihada za kushughulikia umasikini bayana. Hata neno umasikini limetajwa mara moja (kwenye mpango) tena kwenye Tasaf (Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini),”amesema.

Ameishauri wataalam wawapelekee mikakati ya kupunguza umasikini nchini katika mpango wa maendeleo. Profesa Kitila amesema kumekuwa na ongezeko kubwa la watu katika sensa ya mwaka 2022 kuliko sensa zilizopita ambazo ongezeko la watu lilikuwa ni chini ya asilimia 3.2.

Amesema mpango huo unatakiwa uwekeze katika kupunguza umasikin, chakula cha kutosha lakini bahati mbaya kila kitu hakitoshi.

“Maana yake turejee katika miaka ya 1970, 1980, tuanze kuzungumzia suala la uzazi wa mpango halikwepweki lazima lifanyike,”amesema.

Ameshauri Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) kuongezewa kazi ya kusimamia uzazi wa mpango.

MWANANCHI
Huyu bado anaota uwaziri, aendelee kuimba mapambio labda anaweza kufikiriwa
 
Kwa takwimu za kupika za Tanzania tutakuwa tuko uchumi wa kati lakini kwa takwimu za WB au afdb hatuko uchumi wa kati.uchumi wa kati umeporomoka tangu 2021 june.
Weka hiyo taarifa ya world bank inayoonyesha tumeshuka
 
Mbunge wa Ubungo (CCM), Profesa Kitila Mkumbo ameitaka Serikali kutolea ufafanuzi kuhusu Tanzania iko katika daraja gani la uchumi duniani ili kuondoa sintofahamu iliyopo.

Akichangia jana kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo pamoja na Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka 2023/24, Mbunge wa Musumo Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo alisema Tanzania haiko tena katika uchumi waka kati.

Hata hivyo, akichangia leo Profesa Kitila amesema miongoni mwa mafanikio iliyoipata Tanzania ni kufikia uchumi wa kati mwaka 2021.

“Ni muhimu mheshimiwa waziri akalitolea ufafanuzi baadaye, tunasikia takwimu nyingine zinasema tumeshuka ni muhimu Serikali ikaliweka jambo hili vizuri. Si jambo la kupita hivi hivi leo,”amesema.

Amesema kwa mujibu wa taarifa za Benki ya Dunia (WB), za mwaka 2021 nchi yetu ilikadiriwa kuwa na pato Tanzania lilikuwa ni Dola za Marekani Bilioni 67.78 na sio Dola za Marekani Bilioni 62.

Amesema ukifanya hesabu kwa idadi ya watu wa sasa inawapa kuwa pato la Mtanzania ni ni Dola za Marekani 1133.5 kwa mwaka na hivyo kuonyesha kuwa imepanda kidogo ukilinganisha mwaka 2020.

“Hoja kwamba tumeshuka haiwezi kuwa ni kweli. Ni muhimu tukalinda mafanikio yetu kwa wivu mkubwa sana. Ningeomba mheshimiwa Waziri atakapohitimisha, atolee hoja nzinto ya kueleweka ili nchi isibabaike kama uchumi umeshuka ama uko pale,”amesema.

Aidha, amesema suala la kupambana na umasikini ni muhimu lakini kwenye mpango haionyeshi mikakati ya mahususi ya kupambana na umasikini.

“Ni muhimu mpango wa maendeleo uoneshe jitihada za kushughulikia umasikini bayana. Hata neno umasikini limetajwa mara moja (kwenye mpango) tena kwenye Tasaf (Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini),”amesema.

Ameishauri wataalam wawapelekee mikakati ya kupunguza umasikini nchini katika mpango wa maendeleo. Profesa Kitila amesema kumekuwa na ongezeko kubwa la watu katika sensa ya mwaka 2022 kuliko sensa zilizopita ambazo ongezeko la watu lilikuwa ni chini ya asilimia 3.2.

Amesema mpango huo unatakiwa uwekeze katika kupunguza umasikin, chakula cha kutosha lakini bahati mbaya kila kitu hakitoshi.

“Maana yake turejee katika miaka ya 1970, 1980, tuanze kuzungumzia suala la uzazi wa mpango halikwepweki lazima lifanyike,”amesema.

Ameshauri Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) kuongezewa kazi ya kusimamia uzazi wa mpango.

MWANANCHI

Tatizo hawataki kusema ukweli, ni uchumi wa Kati wa Chini. Difference itaonekana siku tukiingia uchumi wa Kati wa Kati.
 
Mbunge wa Ubungo (CCM), Profesa Kitila Mkumbo ameitaka Serikali kutolea ufafanuzi kuhusu Tanzania iko katika daraja gani la uchumi duniani ili kuondoa sintofahamu iliyopo.

Akichangia jana kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo pamoja na Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka 2023/24, Mbunge wa Musumo Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo alisema Tanzania haiko tena katika uchumi waka kati.

Hata hivyo, akichangia leo Profesa Kitila amesema miongoni mwa mafanikio iliyoipata Tanzania ni kufikia uchumi wa kati mwaka 2021.

“Ni muhimu mheshimiwa waziri akalitolea ufafanuzi baadaye, tunasikia takwimu nyingine zinasema tumeshuka ni muhimu Serikali ikaliweka jambo hili vizuri. Si jambo la kupita hivi hivi leo,”amesema.

Amesema kwa mujibu wa taarifa za Benki ya Dunia (WB), za mwaka 2021 nchi yetu ilikadiriwa kuwa na pato Tanzania lilikuwa ni Dola za Marekani Bilioni 67.78 na sio Dola za Marekani Bilioni 62.

Amesema ukifanya hesabu kwa idadi ya watu wa sasa inawapa kuwa pato la Mtanzania ni ni Dola za Marekani 1133.5 kwa mwaka na hivyo kuonyesha kuwa imepanda kidogo ukilinganisha mwaka 2020.

“Hoja kwamba tumeshuka haiwezi kuwa ni kweli. Ni muhimu tukalinda mafanikio yetu kwa wivu mkubwa sana. Ningeomba mheshimiwa Waziri atakapohitimisha, atolee hoja nzinto ya kueleweka ili nchi isibabaike kama uchumi umeshuka ama uko pale,”amesema.

Aidha, amesema suala la kupambana na umasikini ni muhimu lakini kwenye mpango haionyeshi mikakati ya mahususi ya kupambana na umasikini.

“Ni muhimu mpango wa maendeleo uoneshe jitihada za kushughulikia umasikini bayana. Hata neno umasikini limetajwa mara moja (kwenye mpango) tena kwenye Tasaf (Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini),”amesema.

Ameishauri wataalam wawapelekee mikakati ya kupunguza umasikini nchini katika mpango wa maendeleo. Profesa Kitila amesema kumekuwa na ongezeko kubwa la watu katika sensa ya mwaka 2022 kuliko sensa zilizopita ambazo ongezeko la watu lilikuwa ni chini ya asilimia 3.2.

Amesema mpango huo unatakiwa uwekeze katika kupunguza umasikin, chakula cha kutosha lakini bahati mbaya kila kitu hakitoshi.

“Maana yake turejee katika miaka ya 1970, 1980, tuanze kuzungumzia suala la uzazi wa mpango halikwepweki lazima lifanyike,”amesema.

Ameshauri Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) kuongezewa kazi ya kusimamia uzazi wa mpango.

MWANANCHI

Huyo profesa anatetea Nini?. Uchumi wa Kati Kama tuliingia ni kwa muda mfupi, tukatoka. Wewe unadaiwa trillioni 72 utakuwaje uchumi wa Kati?
 
Kitila ni mpumbafu sana. Unsatisfied and greed person.
Magu alishampa cheo ambacho kingemuwezesha kutembelea gari 'mupya' ya serikali, kupata mshahara mzuri na kuishi bure kwenye nyumba ya serikali.
Hakuridhika. Alipoona wenzake wanagombea ubunge akafuata mkumbo. Naye akagombea akiwazia uwaziri.
Sasa anatembelea magari chakavu ambayo asingeyatembelea katika maisha yake ya utumishi wa umma.
Somo kubwa nililojifunza ni kuridhika na kiwango fulani cha mafanikio katika maisha!
 
Mbunge wa Ubungo (CCM), Profesa Kitila Mkumbo ameitaka Serikali kutolea ufafanuzi kuhusu Tanzania iko katika daraja gani la uchumi duniani ili kuondoa sintofahamu iliyopo.

Akichangia jana kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo pamoja na Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka 2023/24, Mbunge wa Musumo Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo alisema Tanzania haiko tena katika uchumi waka kati.

Hata hivyo, akichangia leo Profesa Kitila amesema miongoni mwa mafanikio iliyoipata Tanzania ni kufikia uchumi wa kati mwaka 2021.

“Ni muhimu mheshimiwa waziri akalitolea ufafanuzi baadaye, tunasikia takwimu nyingine zinasema tumeshuka ni muhimu Serikali ikaliweka jambo hili vizuri. Si jambo la kupita hivi hivi leo,”amesema.

Amesema kwa mujibu wa taarifa za Benki ya Dunia (WB), za mwaka 2021 nchi yetu ilikadiriwa kuwa na pato Tanzania lilikuwa ni Dola za Marekani Bilioni 67.78 na sio Dola za Marekani Bilioni 62.

Amesema ukifanya hesabu kwa idadi ya watu wa sasa inawapa kuwa pato la Mtanzania ni ni Dola za Marekani 1133.5 kwa mwaka na hivyo kuonyesha kuwa imepanda kidogo ukilinganisha mwaka 2020.

“Hoja kwamba tumeshuka haiwezi kuwa ni kweli. Ni muhimu tukalinda mafanikio yetu kwa wivu mkubwa sana. Ningeomba mheshimiwa Waziri atakapohitimisha, atolee hoja nzinto ya kueleweka ili nchi isibabaike kama uchumi umeshuka ama uko pale,”amesema.

Aidha, amesema suala la kupambana na umasikini ni muhimu lakini kwenye mpango haionyeshi mikakati ya mahususi ya kupambana na umasikini.

“Ni muhimu mpango wa maendeleo uoneshe jitihada za kushughulikia umasikini bayana. Hata neno umasikini limetajwa mara moja (kwenye mpango) tena kwenye Tasaf (Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini),”amesema.

Ameishauri wataalam wawapelekee mikakati ya kupunguza umasikini nchini katika mpango wa maendeleo. Profesa Kitila amesema kumekuwa na ongezeko kubwa la watu katika sensa ya mwaka 2022 kuliko sensa zilizopita ambazo ongezeko la watu lilikuwa ni chini ya asilimia 3.2.

Amesema mpango huo unatakiwa uwekeze katika kupunguza umasikin, chakula cha kutosha lakini bahati mbaya kila kitu hakitoshi.

“Maana yake turejee katika miaka ya 1970, 1980, tuanze kuzungumzia suala la uzazi wa mpango halikwepweki lazima lifanyike,”amesema.

Ameshauri Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) kuongezewa kazi ya kusimamia uzazi wa mpango.

MWANANCHI
MAPROFESSA WA TANGANYIKA......
 
Mbunge wa Ubungo (CCM), Profesa Kitila Mkumbo ameitaka Serikali kutolea ufafanuzi kuhusu Tanzania iko katika daraja gani la uchumi duniani ili kuondoa sintofahamu iliyopo.

Akichangia jana kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Taifa wa Maendeleo pamoja na Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti kwa Mwaka 2023/24, Mbunge wa Musumo Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo alisema Tanzania haiko tena katika uchumi waka kati.

Hata hivyo, akichangia leo Profesa Kitila amesema miongoni mwa mafanikio iliyoipata Tanzania ni kufikia uchumi wa kati mwaka 2021.
Kuna Miprofesa, Viprofesa, Jiprofesa, Kiprofesa, sio heshima kwa kiprofesa kumbishia jiprofesa!.
Ukimlinganisha Kitila na Muhongo, Kitila ni kiprofesa, Muhongo ni jiprofesa!.
P
 
Back
Top Bottom